Kodi zetu tunajichanga kuwalipa watesaji wetu ambao wamegawanywa maeneo mbali mbali kama mahakamani, bungeni na serikalini.Nchi ilipofikia hakuna namna,tunalipo kodi halafu hatupewe huduma stahiki hakuna bunge,hakuna mahakama,hakuna serikali hivi hizo haki tukatoe wapi!!
Chifu,ukifika kwenye point of no return, huwezi ogopa chochote,liwalo na liwe, ogopa Sana hasira.Simuhukumu kwa kusoma Misri; ila inaonekana kuna mambo alijifunza huko; ambayo yanamtofautisha na raia/mwananchi wa kawaida. Moja wapo ni lile la kutumia silaha nzito kama zile; hakuna mafunzo kama yale yanayofundishwa kwa raia wa kawaida. Tena alikuwa anazitumia kwa ufanisi wa kulenga target kwa hali ya juu sana. Hayo mafunzo hayatolewi kwa raia wa kawaida. Pia kuwa na ile roho (sipirit) ya kuua. Binadamu wa kawaida ni ngumu kuwa na hiyo spirit; tena ukichukulia alianza tu from no where; na kuua polisi wawili; na kuchukua silaha zao. Hivyo vitu ndio vinaashiria kuna kitu alikuwa nacho zaidi ya raia/mwananchi wa kawaida. Huyo alipata training ya kufanya hivyo. Kibaya zaidi ni kuwa kwa umri wake; yeye hakuwahi hata kupitia JKT - maana wakati wao kulikuwa hakuna hayo mafunzo. Hivyo kuna sehemu amejifunza binafsi. Sasa tujiulize; alijifunza akiwa na lengo gani?
nothing you know about climax panicSimuhukumu kwa kusoma Misri; ila inaonekana kuna mambo alijifunza huko; ambayo yanamtofautisha na raia/mwananchi wa kawaida. Moja wapo ni lile la kutumia silaha nzito kama zile; hakuna mafunzo kama yale yanayofundishwa kwa raia wa kawaida. Tena alikuwa anazitumia kwa ufanisi wa kulenga target kwa hali ya juu sana. Hayo mafunzo hayatolewi kwa raia wa kawaida. Pia kuwa na ile roho (sipirit) ya kuua. Binadamu wa kawaida ni ngumu kuwa na hiyo spirit; tena ukichukulia alianza tu from no where; na kuua polisi wawili; na kuchukua silaha zao. Hivyo vitu ndio vinaashiria kuna kitu alikuwa nacho zaidi ya raia/mwananchi wa kawaida. Huyo alipata training ya kufanya hivyo. Kibaya zaidi ni kuwa kwa umri wake; yeye hakuwahi hata kupitia JKT - maana wakati wao kulikuwa hakuna hayo mafunzo. Hivyo kuna sehemu amejifunza binafsi. Sasa tujiulize; alijifunza akiwa na lengo gani?
Kujichukulia sheria mikononi wananchi wameiga kwa polisi kutofata sheria wafanyapo kazi zao.Kama tunataka kuliponya taifa tuwazuie police wetu kubeba bunduki maana wanapokonywa kirahisi mno
Police wabebe smartphone, camera,mikoba midogo ya kubebea hela za kubrashia viatu full stop bunduki waachiwe maJW maana haiwezekani upokonywe bunduki na dogo wa miaka 30
Wasipoangalia sasa watachezea visu & bisibisiKujichukulia sheria mikononi wananchi wameiga kwa polisi kutofata sheria wafanyapo kazi zao.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
We umelizika wenzio hawakubali.Subiri atokee hamza mwingine ana hasira na polisi aende kuwafuata eneo arushe risasi ikupate wewe au mtu wako wa karibu. Haya pale ubalozi wa ufaransa pana kituo cha polisi? Mlinzi wa kampuni binafsi anahusika? Nyie watu mnawaza kutumia viungo gani vya mwili? Mimi nauliza what justifies murder? Hata mimi nimeonewa na mengi hata mtu mwengine pia kaonewa na mengi, tukisema wote tuingie vituoni kuua askari patakuwaje? Alafu nani alisema amedhulumiwa mimi nataka ushahidi wa hilo
Ndani ya utawala wa ccm hakuna reform (japo rais kasema) itakayofanyika ktk jeshi la polisi. Mfumo uliopo unainufaisha ccm kisiasa. Ni kama ilivyo hoja ya katiba mpya.Tukiweka mizani sawa bila kumtetea bro Hamza sanamu lake lijengwe ktk ya mji na hawa ndugu zetu polisi ni kwamba hakuna mahusiano mazuri kati ya polisi na raia. Mi nafikiri badala ya kumtafuta mchawi inabidi kwanza kuboresha mahusiano haya maana tusema Hamza alikua ana matatizo mpaka kushambulia polisi, lakini kwanini watu wanashangilia kuuawa polisi na bwn Hamza anaonekana shujaa?
Tunaona Tanzania tuna Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) ie hii inaleta dhana ya jeshi kuwa sehemu ya wananchi wa Tanzania ndio maana tunaona jinsi wanajeshi wanavyo heshimiwa na kupendwa na wananchi hata kuna kundi la vijana wengi wanatamani na kupenda kutumika katika jeshi la wananchi wa Tanzania.
Kwa upande wa polisi Tanzania ni tofauti raia hawaoni kama polisi ni sehemu ya jamii labda kwa sababu ya colonial mentality ya polisi angalau kidogo walivyoleta ila dhana ya polisi jamii lakini ilikufa baada ya kuingia awamu ya 5. Kiujumla wananchi hawana Imani kabisa na polisi kutokana na rushwa, dhuluma,kubambikizia kesi na uonevu mbaya zaidi kuna watuhumiwa wanajeruhiwa au kuuwawa mikononi mwa polisi either ni uzembe au matumizi ya nguvu kupita kiasi, ndio hali tunayoiona sasa wananchi wanafurahi polisi kuuwawa no sympathy for polisi na bado nilitegemea viongozi wa polisi kwa hili la bwana Hamza inatakiwa ndio iwe turning point lakini wao wanaongeza chumvi kwenye kidonda kwa kauli zao ie kauli ya IGP
Mimi nafikiri nafasi bado ipo kuponyesha majeraha kati ya polisi na raia.kwanza kufanya reform ya muundo,sera,sheria na mifumo ya kipolisi kulifanya la kisasa zaidi kiutendaji ili kuondokana na mfumo wa kikoloni walioridhi baada ya uhuru tuwe na polisi lenye mlengo wa huduma zaidi kwa raia masuala ya kijeshi yabaki JW na JKT. Kuboresha mifumo ya mahusiano ya jamii kwa kuongeza mawasiliano ya mojakwamoja kati ya raia na idara mbalimbali za kipolisi nk
Hamza amepanda mbegu, mbegu hii itamea vizuri na mavuno yake yatawanufaisha wengi ni suala la muda, tutasheherekea tena, zaidi na zaidi tena kuliko jana.Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDERNa tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Umeitaja mahakama, ni kati ya maeneo ambayo haki za raia zinakandamizwa vibaya. Polisi wanakubambika case, ukifika mahakamani bila kutoa hongo unaenda kufungwa. Magereza na mahabusu zimejaa wahanga wa uonevu wa polisi kwa baraka za mahakama wakisingizia sio wao, ni sheria imewaongoza.Pamoja na yote yaliyotokea ambayo sio halali, lakini ukweli ni kwamba hakuna haki katika jamii yetu, kuanzia serikalini, vyombo vya dola ,mahakama,bunge dini na jamii yote kwa ujumla.
Watu pekee wa kuleta haki ni mahakama lakini matukio ya hivi karibuni yana thibitisha haki haipatikani huko tena.
Police wamekua ni watu wa kati ya jamii na mahakama lakini matokeo yake polisi wametugeuka!
Matokeo yake ni haya ya ndugu hamza na watu wengi kuwa upande wa hamza kwa sababu wengi wetu tumekuwa waathirika kwa namna moja ama nyingine na polisi.
Kinachopaswa polisi wajisahihishe kwa kweli, ama kuwe na mjadala wa kitaifa namna polisi watakavyo fanya imani kwa jamii na utumishi wao kwa jamii uthaminike tena.
Pole kwa wote walio athirika, pole kwa familia ya hamza, pole kwa familia ya ndugu polisi waliopoteza maisha, na taifa kwa ujumla.
Lakini igp umeweza kukosea tena, jisahihishe, polisi kwa ujumla wote nanyi mjisahihishe.
Jana ilikuwa bora kadhalika na na leo lakini kesho ni bora zaidi, ila kesho bora huandaliwa na leo.
Jisahihisheni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha nicheke tuSubiri atokee hamza mwingine ana hasira na polisi aende kuwafuata eneo arushe risasi ikupate wewe au mtu wako wa karibu. Haya pale ubalozi wa ufaransa pana kituo cha polisi? Mlinzi wa kampuni binafsi anahusika? Nyie watu mnawaza kutumia viungo gani vya mwili? Mimi nauliza what justifies murder? Hata mimi nimeonewa na mengi hata mtu mwengine pia kaonewa na mengi, tukisema wote tuingie vituoni kuua askari patakuwaje? Alafu nani alisema amedhulumiwa mimi nataka ushahidi wa hilo
Fikra zangu zinanambia kuna kitu hamza alifanyiwa na ma askari....Subiri atokee hamza mwingine ana hasira na polisi aende kuwafuata eneo arushe risasi ikupate wewe au mtu wako wa karibu. Haya pale ubalozi wa ufaransa pana kituo cha polisi? Mlinzi wa kampuni binafsi anahusika? Nyie watu mnawaza kutumia viungo gani vya mwili? Mimi nauliza what justifies murder? Hata mimi nimeonewa na mengi hata mtu mwengine pia kaonewa na mengi, tukisema wote tuingie vituoni kuua askari patakuwaje? Alafu nani alisema amedhulumiwa mimi nataka ushahidi wa hilo
Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDER❌ Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Unaonekana hukupita jkt, kwako SMG inaonekana ni silaha nzito. Kule kuna mafunzo ya kutumia mpaka LMG. Aliojifunza huko inaoneka unahisi tu, na hata jeshi la polisi halitaki kupata taarifa kutoka huko. Wako bussy kubumba wanayoona yana manufaa kwao.Simuhukumu kwa kusoma Misri; ila inaonekana kuna mambo alijifunza huko; ambayo yanamtofautisha na raia/mwananchi wa kawaida. Moja wapo ni lile la kutumia silaha nzito kama zile; hakuna mafunzo kama yale yanayofundishwa kwa raia wa kawaida. Tena alikuwa anazitumia kwa ufanisi wa kulenga target kwa hali ya juu sana. Hayo mafunzo hayatolewi kwa raia wa kawaida. Pia kuwa na ile roho (sipirit) ya kuua. Binadamu wa kawaida ni ngumu kuwa na hiyo spirit; tena ukichukulia alianza tu from no where; na kuua polisi wawili; na kuchukua silaha zao. Hivyo vitu ndio vinaashiria kuna kitu alikuwa nacho zaidi ya raia/mwananchi wa kawaida. Huyo alipata training ya kufanya hivyo. Kibaya zaidi ni kuwa kwa umri wake; yeye hakuwahi hata kupitia JKT - maana wakati wao kulikuwa hakuna hayo mafunzo. Hivyo kuna sehemu amejifunza binafsi. Sasa tujiulize; alijifunza akiwa na lengo gani?
Na point hiyo mtu huona kifo ni bora kuliko uhai. Polisi wametufunga kamba shingoni, wanatuburuza kuelekea huko. Wachache kina Hamza wamechoka, walichofanya ndio hicho.Chifu,ukifika kwenye point of no return, huwezi ogopa chochote,liwalo na liwe, ogopa Sana hasira.
Hata meno, kwenye vita hakuna mjadala wa kuchagua silaha.Wasipoangalia sasa watachezea visu & bisibisi