Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,517
HahaahahahahahaaaUkimbusuka na mbususu alafu ikawa inakuambia ww mwagia ndani tuu hamna shida nipo siku salama huo ni mtego, ikiwezekana usimwage nje bali kamwage chooni kabisa
Critical broonilishafanya sana huu ujinga, nilikuwa nasafiri navyo ivi vitu na nikifika popote nachukua yeyote tunapima kwanza wote. nikaja kugundua kwamba, ni dharau sana kwa Mungu kuogopa ukimwi na kufanya zinaa wakati Mungu anakuona. manake unamwambia Mungu sikuogopi wewe naogopa ngoma tu. unamkasirisha sana Mungu. pia jua kwamba, virusi sometimes huwa havionekani mapema, inaweza kuwa negativu kumbe ....., cha muhimu kufanya, mwogopeni Mungu zaidi kuliko ngoma, unapofanya uzinzi jua kabisa Mungu anakuona, unapojifanya unajiokoa maisha yako kwa kuvaa ndomu au kupima kwanza Mungu anakuona na anakushangaa sana kwasababu kuna hatari nyingi anakuokoa nazo mbaya kuliko hata hiyo ngoma ambayo unaweza kusavaivu siku kadhaa kwa kunywa vidonge. Mwogope Mungu anayeona sirini kule kule chumbani uliko kuliko wanadamu au magonjwa. Mungu akikuacha au akiamua kukuadhibu ni hatari kuliko kupata ngoma.
Are you a dude or dudette?Mkikutana na Mwanaume anawahi kukuambia, amepima juzi kati tuu , alafu hana mpango wa kujua hali yako...KULA PESA YAKE, ALAFU INGIA MITINI, MTUMIE BOOONGE LA MESEJI MBWA HUYO .
Mkikutana na Mwanaume, Umri wake umeenda, ana maisha na MTU wa starehe . Lkn HAJAOA,... Tumia NDOMU... Huyu mbwa ni kitombii nahuenda KAJICHOKEA.
Mkikutana na mwanaume hata humu mtandaoni,,,,anapenda kuzalishaaa lkn kupima hataki...ACHANA NA HUYO MBWAA.
Hapo anawacheka wale wadau waliompitia na kujitunisha misuli mtaani
Nitauprint huu ujumbe,nitaulaminate kisha nitaubandika ukutani geto na ofisini....nilishafanya sana huu ujinga, nilikuwa nasafiri navyo ivi vitu na nikifika popote nachukua yeyote tunapima kwanza wote. nikaja kugundua kwamba, ni dharau sana kwa Mungu kuogopa ukimwi na kufanya zinaa wakati Mungu anakuona. manake unamwambia Mungu sikuogopi wewe naogopa ngoma tu. unamkasirisha sana Mungu. pia jua kwamba, virusi sometimes huwa havionekani mapema, inaweza kuwa negativu kumbe ....., cha muhimu kufanya, mwogopeni Mungu zaidi kuliko ngoma, unapofanya uzinzi jua kabisa Mungu anakuona, unapojifanya unajiokoa maisha yako kwa kuvaa ndomu au kupima kwanza Mungu anakuona na anakushangaa sana kwasababu kuna hatari nyingi anakuokoa nazo mbaya kuliko hata hiyo ngoma ambayo unaweza kusavaivu siku kadhaa kwa kunywa vidonge. Mwogope Mungu anayeona sirini kule kule chumbani uliko kuliko wanadamu au magonjwa. Mungu akikuacha au akiamua kukuadhibu ni hatari kuliko kupata ngoma.
Na watu wote tuseme amen kwa comment nzurinilishafanya sana huu ujinga, nilikuwa nasafiri navyo ivi vitu na nikifika popote nachukua yeyote tunapima kwanza wote. nikaja kugundua kwamba, ni dharau sana kwa Mungu kuogopa ukimwi na kufanya zinaa wakati Mungu anakuona. manake unamwambia Mungu sikuogopi wewe naogopa ngoma tu. unamkasirisha sana Mungu. pia jua kwamba, virusi sometimes huwa havionekani mapema, inaweza kuwa negativu kumbe ....., cha muhimu kufanya, mwogopeni Mungu zaidi kuliko ngoma, unapofanya uzinzi jua kabisa Mungu anakuona, unapojifanya unajiokoa maisha yako kwa kuvaa ndomu au kupima kwanza Mungu anakuona na anakushangaa sana kwasababu kuna hatari nyingi anakuokoa nazo mbaya kuliko hata hiyo ngoma ambayo unaweza kusavaivu siku kadhaa kwa kunywa vidonge. Mwogope Mungu anayeona sirini kule kule chumbani uliko kuliko wanadamu au magonjwa. Mungu akikuacha au akiamua kukuadhibu ni hatari kuliko kupata ngoma.