tetee
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 789
- 866
Aisee zile chapati zina kiungulia hatari...kiungulia chake ni kiungulia dume tena kijeba..utakurutwa kifua mwanzo mwisho hata andrews caustic soda haifui dafu

Aisee zile chapati zina kiungulia hatari...kiungulia chake ni kiungulia dume tena kijeba..utakurutwa kifua mwanzo mwisho hata andrews caustic soda haifui dafu

Ukweli mtupu ndugu. Hizi teknolojia zimekuja na hasara pia kwa upande mwingineWapishi wenyewe ni hawa KUCHI? micro wave na azam gas![]()
![]()
nazi inaungwa kama kitunguu
![]()
![]()
halafu hakuna kufunikiwa hupati ukoko wala matandu/mahaba...wallah huo ukinukia labda uumwagie pafyume ya kichina yenye harufu ya wali nazi
![]()
![]()
....unamwambia kimwana leo nataka wali wa nazi unakuta bokoboko la ubwabwa tepetepe limewekwa nazi ya azam ile ya pakiti....! Ukiwekwa kwenye sahani vinajitenga azam nazi juu bokoboko la mpunga chini utafikiri vinafanya igizo la sarakasi
Japo mama na dada zetu watanimind kishenzi leo..hasa yule aliyenialika PasakaUkweli mtupu ndugu. Hizi teknolojia zimekuja na hasara pia kwa upande mwingine

Na hii ndio imesababisha leo hii kila kitu kipo tayari, hukuni nazi unanunua dukani, hupalui samaki ashapaluliwa sokoni, hadi kisamvu kimeshatwangwa na kuchemshwa jamaniiiiiii hadi ndizii zinamenywa sokoniJapo mama na dada zetu watanimind kishenzi leo..hasa yule aliyenialika Pasaka![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hiki kizazi jama!!!Sema tu kwa sababu ya mazingira lakini moshi na hata kusoma kwa stahili hiyo haipaswi iwe ni kuua bundi manake...................![]()
hii kitu mwisho kutumia saa mbili na nusu usimalize mafuta, lkn watu walikuwa wanapata A
Hapa umenikama kweli kwelihii kitu madam nyamchele ilikuwa ni raw material ya kutengenezea Magari ya bati pia(watoto na vijana). Huwezi kukuta hili kopo jalalani kirahisi.![]()
la pili kushoto
Nikiiona hiyo cherehani nakumbuka Leo ,,, nmenunua ya hivohivo., so mi wa zamani auu!
![]()
hii kitu mwisho kutumia saa mbili na nusu usimalize mafuta, lkn watu walikuwa wanapata A
Ward haaaaaaaaKata ndio nini mkuu?
Rangi mbiliWakati huo ugonjwa mkubwa ulikuwa kaswende matibabu yake tetracycline
Dompoooonyamchele you made my ningekuwa karibu yako ningekupiga na dompo barrrrdi sana
Kwann klorikwini iliwasha mwili?Dada yangu katunywesha sana klorokwini kwenye mtungi kama huo.. yaani alikuwa akiumwa anasimamiwa kumeza dawa sasa yeye anasimama karibu na mtungi na anaziachia zitumbukie humo na kuyeyukia humo. Maji yanakuwa ya uchachu flani hivi