Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Walikitupa waliponunua radio yahebu tupia picha zake hicho king'ong'o tukione!

Walikitupa waliponunua radio yahebu tupia picha zake hicho king'ong'o tukione!

aiss uipige kabisa picha hiyo iliyonunuliwa...kuna uwezekano wakinunua ya Bluetooth na hiyo itatupwa!Walikitupa waliponunua radio ya![]()
![]()
![]()
![]()
Hii ntakuuzia wakitaka kuitupa maana kwenu sitimbi bado hazijafikaaiss uipige kabisa picha hiyo iliyonunuliwa...kuna uwezekano wakinunua ya Bluetooth na hiyo itatupwa!

kwetu pandagichiza siyo sitimbi...sitimbi wanaishi wanawake wanaume wa dar wakitaka kuoa wanaenda kuwachukua huko...wenye adabu!Hii ntakuuzia wakitaka kuitupa maana kwenu sitimbi bado hazijafika![]()
![]()
Hahahahahaha kwahiyo sie wengine adabu hatuna??kwetu pandagichiza siyo sitimbi...sitimbi wanaishi wanawake wanaume wa dar wakitaka kuoa wanaenda kuwachukua huko...wenye adabu!
aaah nyie wa dsm mnamatatizo sana...mara mtuite mabuzi mara vibamia mara tunaogopa panya...sasa ndo adabu hiyo!bora wa sitimbi bana!Hahahahahaha kwahiyo sie wengine adabu hatuna??
Hao wa sitimbi wakiingia mjini WAOGOPEaaah nyie wa dsm mnamatatizo sana...mara mtuite mabuzi mara vibamia mara tunaogopa panya...sasa ndo adabu hiyo!bora wa sitimbi bana!
wakishajua kuwa mjini kuna vitu vinaliwa ambavyo wao hawajawahi hata kuota wanakuwa hawakamatiki. Heri sisi pamoja na kuwaita vibamia tunawavumilia tu na maisha yanaendelea
simpaka avijue...anaanzaje kwa mfano wakati atakuwa anauza maji ya kisima nilichokichimba kujiongezea kipatoHao wa sitimbi wakiingia mjini WAOGOPEwakishajua kuwa mjini kuna vitu vinaliwa ambavyo wao hawajawahi hata kuota wanakuwa hawakamatiki. Heri sisi pamoja na kuwaita vibamia tunawavumilia tu na maisha yanaendelea
![]()
Kata ndio nini mkuu?Hapo kwenye mtungi, badala ya kikombe, tulikuwa tunatumia kata kuchota maji ndani ya mtungi. Kweli maisha ni safari ndefu sana!
Atakutana na mafundiiii si unajua mjini akili atazikuta huku huku, kashazoea chemli anakutana na umeme, anaona radio ya picha wakati sitimbi ni mpaka kwa mjumbe,simpaka avijue...anaanzaje kwa mfano wakati atakuwa anauza maji ya kisima nilichokichimba kujiongezea kipato
Nakumbuka baada ya mafuta hayo kuisha tulikuwa tunacheza ule mchezo wa baba na mama na kujipikilisha.....tunaiba mchele nyumbani na kuyatumia makopo hayo kama masufuria.......tunapika wali wetu chini ya mwembe......nina uhakika nyamchele hukuyatumia haya!!!
Hata mimi nlitaka kusema hiviMbona mpaka leo tunatumia vyote?
Wali maharage yalikua yana harufu nzuri na walipikia mafuta ya pambahivi vitu vinanikumbusha mbali sana huko kijijini kwetu, enzi hizo maisha yalikuwa rahisi sana, vyakula vingi, nyumbani siku wakipika wali watoto hamlali mapema, hadithi nyingi mpaka mnapiga hizo punje
sijui kwann siku hizi wali haunukii!!
Wapishi wenyewe ni hawa KUCHI? micro wave na azam gasWali maharage yalikua yana harufu nzuri na walipikia mafuta ya pamba![]()
sijui kwann siku hizi wali haunukii!!
nazi inaungwa kama kitunguu
halafu hakuna kufunikiwa hupati ukoko wala matandu/mahaba...wallah huo ukinukia labda uumwagie pafyume ya kichina yenye harufu ya wali nazi
....unamwambia kimwana leo nataka wali wa nazi unakuta bokoboko la ubwabwa tepetepe limewekwa nazi ya azam ile ya pakiti....! Ukiwekwa kwenye sahani vinajitenga azam nazi juu bokoboko la mpunga chini utafikiri vinafanya igizo la sarakasi

Mkuu huko kwa bibi hii project ya REA haijafika bado?Hii mpaka sasa kwa Bibi inatumika.
Wapishi wenyewe ni hawa KUCHI? micro wave na azam gas![]()
![]()
nazi inaungwa kama kitunguu
![]()
![]()
halafu hakuna kufunikiwa hupati ukoko wala matandu/mahaba...wallah huo ukinukia labda uumwagie pafyume ya kichina yenye harufu ya wali nazi
![]()
![]()
....unamwambia kimwana leo nataka wali wa nazi unakuta bokoboko la ubwabwa tepetepe limewekwa nazi ya azam ile ya pakiti....! Ukiwekwa kwenye sahani vinajitenga azam nazi juu bokoboko la mpunga chini utafikiri vinafanya igizo la sarakasi
yooote hii ni madhara ya utandawazi aiseee,,,imagine hata chapati zipo ready made
.
Aisee zile chapati zina kiungulia hatari...kiungulia chake ni kiungulia dume tena kijeba..utakurutwa kifua mwanzo mwisho hata andrews caustic soda haifui dafu![]()
![]()
![]()
yooote hii ni madhara ya utandawazi aiseee,,,imagine hata chapati zipo ready made
.
Na ni bonge la fursa kutengezea harufu ya walI lazima mtu avune pesa aisee maana hata mbegu za siku hizi twaambiwa za miezi michache...sio GMO hizi![]()