Ukiona picha hizi zinakukumbusha nini

Ukiona picha hizi zinakukumbusha nini

1459551834294.jpg
1459551882169.jpg

Mambo ya fueza hayo cheki noti moja thamani yake ilikuwa shin ngapi?
 
New_Picture_16.png

hii kitu mwisho kutumia saa mbili na nusu usimalize mafuta, lkn watu walikuwa wanapata A
mseza mkulu,nilikuaga natumia koloboi form 2 majiran ze2 walikuaga na umeme,tukifanya mitihan shule nakua wa kwanza au pili,wale majiran zangu wakawa wanahisi koloboi inaongeza akili,wakaacha ku2mia umeme wakawaambia wazaz wao wanunuliwe koloboi
 
Mimi nakumbuka michezo ya kombolela,michezo ya kuitumia betri za radio tunatumia kulenga shabahh...tunakulana kadi za wasanii ambazo zilikuwa zinapatikana kwenye big g,michezo ya goroli,kutengeneza Magari kwa kuitumia makopo...
Tuliyo kulia uswazi ilikuwa burudani
 
mseza mkulu,nilikuaga natumia koloboi form 2 majiran ze2 walikuaga na umeme,tukifanya mitihan shule nakua wa kwanza au pili,wale majiran zangu wakawa wanahisi koloboi inaongeza akili,wakaacha ku2mia umeme wakawaambia wazaz wao wanunuliwe koloboi
Mzee Wa ushirombo uko vizuri.
Kufaulu ni mbinu na burning desire to learn.
Ukisomea koroboi Muda mrefu macho yanakuwa kama wale mabibi wanaouwawa kwa tuhuma za kishirikina.
Hapo ilikuwa mwendo Wa precision and accuracy. Dakika mbili mbele ya koroboi ilikuwa na thamani zaidi ya masaa mawili mbele ya tubelight au bulb watt 60/100
 
Mimi nakumbuka michezo ya kombolela,michezo ya kuitumia betri za radio tunatumia kulenga shabahh...tunakulana kadi za wasanii ambazo zilikuwa zinapatikana kwenye big g,michezo ya goroli,kutengeneza Magari kwa kuitumia makopo...
Tuliyo kulia uswazi ilikuwa burudani
Mabetri ile ukivuka mstari unakuwa Wa mwisho kulenga. Ukilenga likianguka lako.
🙂🙂
 
hii kitu madam nyamchele ilikuwa ni raw material ya kutengenezea Magari ya bati pia(watoto na vijana). Huwezi kukuta hili kopo jalalani kirahisi.
382b0a5ab325086884f5f89ed43357fe.jpg

la pili kushoto
nimeipenda ii imenkumbusha zamani sana....siku hizi hamna af hata nshasahau jinsi ya kudesign
 
Nilikuwa najifanya msongo kusoma kwa chemli NAAMBIWA WE JIFANYE KUSOMA ukimaliza mafuta utanunua mwenyewe
1459807484937.jpg

Chemli na karabai bado zipo na tanesco wakizingua naweka spirit kwenye karabai mwaahhh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom