Hakika wananchi tunataka kuona siasa za kistaarabuu kama Rais Samia Suluhu alivyoagizaMama ashukuriwe sana kwa kuirejesha na kuimarisha demokrasia ya vyama vingi nchini.
Sasa kinacho takiwa kwa wanasiasa ni kutumia uhuru vyema kwa kuiweka Tanzania mbele sio kupandikiza chuki na kuchochea vurugu.
Wananchi tunataka kusikia siasa za maendeleo sio matusi na kejeli.
Sioni kama hicho kikundi kinaweza kushika nchi ...Bado wanahitaji kujitangaza zaidi kwa sasa pametulia wapambane na sera safi maana 2025 ni kama keshokutwa tu ...
Wazidi kutumia hii nafasi kupata ushawishi mkubwa kila mkoa na kanda zote hii itawaletea nguvu zaidi ila kwa ....Kundi kama vijana bodaboda kwa nyuma hapo ndo wengi wakae nao vizuri sio.
Kwa hao labda kutetea viti bungeni uwezo mkubwa wanao ila sio kushika nchi ...Bado sana wafanye dominance mda upo wa kutosha wazunguke kanda zote kujenga ushawishi.
Naona niwendawazimu wanahanja barabaraniHebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Hili ni kundi la wahuni nduguHebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Uhuni tuuHebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Na utaongozwa na watu ambao hukuwachagua, huenda wakawa ni wapumbavu zaidi yakoNdo maana siasa sifatilii
[emoji38][emoji38][emoji38]Na utaongozwa na watu ambao hukuwachagua, huenda wakawa ni wapumbavu zaidi yako
Kumbe we mwanachademaMungu ibariki CHADEMA
Wote wanaoandika nyuzi nyinginyingi humu ni chadema,huko nyuma walikua wengi mno humu kiasi ukikosoa chadema utashambuliwa mpaka basiKumbe we mwanachadema
Hapo ndo upeo wao UMEKITA
HakikaHapo ndo upeo wao UMEKITA
Ndio mimi ni mwana CHADEMA kindakindakiKumbe we mwanachadema
Kwa njia ipi ya mapinduzi au sanduku la kura ?Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Nachoona ni sura geni mingi ila kwajili kitu cheusi kina onekana mapema kwenye rangi nyeupe wenye pupa wata bebwa wengi na pupaHebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Mungu ana njia zake , kuna watu walinunua viwanja Chato wakiamini neno milele , leo hawajui la kufanyaKwa njia ipi ya mapinduzi au sanduku la kura ?
Kwa njia ipi ya mapinduzi au sanduku la kura ?Mungu ana njia zake , kuna watu walinunua viwanja Chato wakiamini neno milele , leo hawajui la kufanya
Sasa wavuta bange na wezi wa wa magari wasikamatwe?Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?