chawa mzee
Member
- Nov 8, 2016
- 20
- 1
Mwenye umri huo ukimuingia kwa gia ya kumuoa wala hakunyimi papuchi[/QUOT
bure hasara.. kaa ukijua
Mwenye umri huo ukimuingia kwa gia ya kumuoa wala hakunyimi papuchi[/QUOT
bure hasara.. kaa ukijua
Mwenye umri huo ukimuingia kwa gia ya kumuoa wala hakunyimi papuchi[/QUOT
bure hasara.. kaa ukijua
Hahah...wanakuaje hao boss? Maana mimi namfahamu mmoja, anatoa uroda hovyo kwa watu wanaomjia wakiwa wamechomekea vizuriUsiombe akiwa ameshazalishwa alafu anafika mpaka 30 hajaolewa...
Comment imenikosha sana, wanasahau kuwa wao ndo wanaodanganya mabinti kwa uchumba hewa.Mi mwenyewe nawashangaa shogangu, we wasikupe presha kwa ambao hawajaolewa wataolewa kwa muda wao baada ya kujihakikisha ya kwamba wanaweza kumudu hizo ndoa, kama hawawez basi sio lazima katika amri 10 za Mungu hakuna mahali imeandikwa mwanamke asipoolewa atakataliwa mbinguni!
Noted, huu ndiyo ukweli kutoka moyoni mwako.Wewe nani hadi umpangie mtu muda wa kuolewa? Wataolewa rizki zao na machaguo yao tayapokuja hata wakiwa 50's sioni tatizo kwanza tuliowahi kuolewa tulijiingiza kitanzini tu kwa maana sasa hivi ndio tunaona machaguo yetu yakipita kwa nje na hatuna jinsi tumeshafungiwa
Ha ha hahahaaaaKwani Vp. INAONEKANA WEWE NI MMOJA WAO NINI! Mbona imekutouch sana
Neno kuntu.Umri huo ndio mzuri maana anakuwa amekomaa na unauzoefu na mambo mengi wala hahitaji kitechen party.
Sababu kubwa na ya maana kati ya zote ulizozitoa hapo juu nimeiona moja tu nayo ni mambo mengi, kwani mwanamke mwenye malengo mazuri na maisha yake ni lazima aandae mambo yake mapema kuliko kumsubiria mwanamme ndiyo aje amlee na kuanza kupata manyanyaso ya hapa na pale. Lakini umejitahidi kufafanua mkuu.Kwa kifupi nina uzoefu wa kiasi fulani kuwa na urafiki wa kimapenzi au urafiki wa kawaida na wanawake waliozidi miaka 30.. Kuna vitu vingi sana najifunza kutoka kwao..
Wengi wao wanafika umri huo bila kuolewa kwa sababu zifuatazo..
Wengi toka wakiwa wadogo ni Viburi.. Wengine wana tabia ya Dharau.. Wengine wanajisikia sana.. Wengine wana mambo mengi, unakua na demu akili yake haitulii napenda mambo makubwa mno kuliko uwezo.. Wengine umalaya.
Kwa tabia hizo lazima mwanamke ufike miaka 30 bila kuolewa. Kama unatabia hizo mwanamke badilika mapema, wanaume tuko makini sana kwenye kuangalia mke wa kuoa. Badilika
Aiseee