Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,697
Nimechunguza ndoa za ndugu zangu wengi walionizidi umri, utakuta mama anakwambia mumewe hakuwa kwenye mawazo yake, Alimpenda kijana mwingine, ila imetokea tu ameolewa na mume alie naye sasa baada ya mumewe kuhaso kumpata.
Wengine waliolewa kupunguza ugumu wa maisha/kwa kuangalia kipato cha mwanaume lakini ndoa zao zimedumu zaidi ya miaka 30..nlivochunguza niligundua hao wanaume kwenye ndoa wanatimiza majukumu yao, na wanawake wana tabia nzuri na roho nzuri, na tabia mbaya/mapungufu yanayovumilika.
Hivyo hawa wadada wanaoomba hela mda mfupi baada ya kutongozwa, kama wana roho nzuri/tabia nzuri, mkiingia kwenye mahusiano ya kindoa na mwanaume ukawa sio pasua kichwa unahudumia familia vizuri, mnashangaa mnazeeka wote mkiwa kwenye ndoa.
Nimewaza tu.
Wengine waliolewa kupunguza ugumu wa maisha/kwa kuangalia kipato cha mwanaume lakini ndoa zao zimedumu zaidi ya miaka 30..nlivochunguza niligundua hao wanaume kwenye ndoa wanatimiza majukumu yao, na wanawake wana tabia nzuri na roho nzuri, na tabia mbaya/mapungufu yanayovumilika.
Hivyo hawa wadada wanaoomba hela mda mfupi baada ya kutongozwa, kama wana roho nzuri/tabia nzuri, mkiingia kwenye mahusiano ya kindoa na mwanaume ukawa sio pasua kichwa unahudumia familia vizuri, mnashangaa mnazeeka wote mkiwa kwenye ndoa.
Nimewaza tu.