Ukiona mpaka navaa Condom tafsiri yake sina imani na afya yako

Sensei Tai

Senior Member
May 26, 2022
126
359
Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom

Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue Condom na alivoona sitaki kuvua akaniuliza "huniamini" ???

Mpaka navaa Condom tafsiri yake ni kwamba sikuamini sababu sijui umekutana na wangapi na pia tunajiepusha na mimba zisizotarajiwa plus magonjwa ya zinaa.

Mwanamke ukikutana na mwanaume ambae anatumia kinga shukuru Mungu mana anajari afya yako na yake na sio kumlazimisha avue kisha yanafuata majuto.

Je wewe kijana mwenzangu ushawahi kukutana na mwanamke ambae anakuomba uvue kinga ili upige kavukavu na je uliuepuka vipi mtego huo ?
 
Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa 🍑lote huku akishika 🍆, nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba
 
Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa lote huku akishika , nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba
Kumbe wanaume wengi wanabebeshwa mimba sio zao
 
Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom

Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue Condom na alivoona sitaki kuvua akaniuliza "huniamini" ???

Mpaka navaa Condom tafsiri yake ni kwamba sikuamini sababu sijui umekutana na wangapi na pia tunajiepusha na mimba zisizotarajiwa plus magonjwa ya zinaa.

Mwanamke ukikutana na mwanaume ambae anatumia kinga shukuru Mungu mana anajari afya yako na yake na sio kumlazimisha avue kisha yanafuata majuto.

Je wewe kijana mwenzangu ushawahi kukutana na mwanamke ambae anakuomba uvue kinga ili upige kavukavu na je uliuepuka vipi mtego huo ?


Hapana, maana nalala na mke wangu tu na kinga situmii
 
Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa 🍑lote huku akishika 🍆, nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba

Mkuu kama ni kweli upewe maua yako
 
Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom

Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue Condom na alivoona sitaki kuvua akaniuliza "huniamini" ???

Mpaka navaa Condom tafsiri yake ni kwamba sikuamini sababu sijui umekutana na wangapi na pia tunajiepusha na mimba zisizotarajiwa plus magonjwa ya zinaa.

Mwanamke ukikutana na mwanaume ambae anatumia kinga shukuru Mungu mana anajari afya yako na yake na sio kumlazimisha avue kisha yanafuata majuto.

Je wewe kijana mwenzangu ushawahi kukutana na mwanamke ambae anakuomba uvue kinga ili upige kavukavu na je uliuepuka vipi mtego huo ?
Kuna mimba nliilea, siku dada yule anajifungua ndo naami nikaaga, kondom huwaondolea ujasiri wa kushikisha mimba watu wasio husika
 
Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom

Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue Condom na alivoona sitaki kuvua akaniuliza "huniamini" ???

Mpaka navaa Condom tafsiri yake ni kwamba sikuamini sababu sijui umekutana na wangapi na pia tunajiepusha na mimba zisizotarajiwa plus magonjwa ya zinaa.

Mwanamke ukikutana na mwanaume ambae anatumia kinga shukuru Mungu mana anajari afya yako na yake na sio kumlazimisha avue kisha yanafuata majuto.

Je wewe kijana mwenzangu ushawahi kukutana na mwanamke ambae anakuomba uvue kinga ili upige kavukavu na je uliuepuka vipi mtego huo ?
Utakuja kuyakanyaga siku japo sikuombei
 
Condom zilishanishinda siku nyingi..

Hapa ni mwendo wa MPOTO theory.

So far.. kama huvai Ndom basi be very selective, pia uwe mtu wa kupima afya hasa ya huyo unaemkula mwisho ni uhakikishe uchakataji wa mbususu uwe na vilainishi vya kutosha na mhsus..
 
Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom

Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue Condom na alivoona sitaki kuvua akaniuliza "huniamini" ???

Mpaka navaa Condom tafsiri yake ni kwamba sikuamini sababu sijui umekutana na wangapi na pia tunajiepusha na mimba zisizotarajiwa plus magonjwa ya zinaa.

Mwanamke ukikutana na mwanaume ambae anatumia kinga shukuru Mungu mana anajari afya yako na yake na sio kumlazimisha avue kisha yanafuata majuto.

Je wewe kijana mwenzangu ushawahi kukutana na mwanamke ambae anakuomba uvue kinga ili upige kavukavu na je uliuepuka vipi mtego huo ?
Mm maishan mwangu kama nimetumia condom haizid Mara 3 hakuna radha kabisa

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom