WANAJIFANYA WALOKOLE ILA MATENDO YAO NI KULALA NA MANABII NA KUVUNJA NDOA ZAO WENYEWE.Ha mapovu vup? Soma ujumbe vzr acha kukurupuka kujibu!!
Bora mshinda bar hatalala huko kuliko mlokole anayeshinda mikesha na weekend anashinda kwa mchungaj kufanya kazi
Kila mmoja anataka mke wa hivyo hivyo kama wewe,ila sasa chunguza uone kama huko kukesha ni kweli na huko kuomba ni kweli!!!! Wengi wao kazi ni kutembea na hao manabii tu.Ni bora niwe na mke anaeshinda kanisani hata kama ni kukesha kuliko kuwa na mke anaeshinda kwnye shughuli za watu au kuwa na mke anaejua ratiba zote za jahaz modern taarabu,ni mara mia anaeenda kumlilia Mungu wake huko kuliko mke anaeshinda kwnye mabalaza ya wenzie anapiga domo. Kwhyo hata mm mke wangu akianza kwenda huko aende tu
Kanisa letu lazma taarifa ya mapato na matumizi iwekwe wazi kwa waumini na waumini wana haki ya kuhoji kila cent iliyotumika. Na kama wanakula hela viongozi basi asilimia ndogo sana ambayo hawafaidiki nayo kwa lolote.Ki ukweli hisia za kibinadamu haziepukiki na pia dhiki iliyojaa ndo kabisa inatupoteza,ukichunguza kwa makini viongozi wa dini wa sasa wapo kimaslah ndo mana iman imetoweka,kwakweli hizi sadaka siku hizi zinaliwa tu kotekote kila dini na kiladhehebu,mtu kama hujampa nafasi ya juu ya uongozi anahama kabisa nyumba ya ibada,na anapoenda anasambaza sumu maana anaona ulaji umempita.KHERI IMEKWISHA KIUKWELI WEMA WAMEPITA.
Pamoja na yoooote hayo zaka/sadaka usiache kutoaSabato kuna nafuu?
kule kuna michango mingi sana.mara zaka,sadaka,fungu la kumi,mchango wa ujenzi,mchango wa field nk nk.Jumamosi kanisani asubuhi mpaka jioni,jumatano kwaya,bila kusahau MAKAMBI wiki nzima kushinda na kukesha kanisani. we acha tu
Wasabato sadaka hachukui mchungaji hivyo hawez kukuahawish utoe kila kitu chakoVip kuhusu wasabato hawana tatizo hilo?
Wasabato sadaka hachukui mchungaji hivyo hawez kukuahawish utoe kila kitu chakoVip kuhusu wasabato hawana tatizo hilo?
Unashangaa nn sasaGwajima tena?
Hujaelewa point yangu! jaribu kutofautisha hawa ambao wanapokea hizo sadaka na ndo mlo wao hivyo lazima atumie ushawishi wake wote ili utoe hata kama unabaki huna kitu tofaut na wale ambao sadaka zinaenda kutumika kwenye uongozi wa juu na mchungaji hahusiki nazo sana hivyo hata ushawishi wake kwazo sio mkubwaSadaka zinaenda uongozi wa juu kufanya nini? Hou uongozi wa juu unaongozwa na binadamu au Mungu? FUNGUKA AKILI WEWE HAKUNA SADAKA INAYOENDA MBINGUNI ZOTE ZINALIWA HAPA HAPA DUNIANI.
Hahahaja ndo hivyo na akihamia kanisani kule watamchuna vihela vyake weeew vikiisha wanamtelekeza unashangaa anarudi analiaUkiamua kuwa dikteta, mke ataletewa imani nyingine kuwa " usijali kuwa na imani mungu atakupa mume mwingine anaejali" alafu utashangaa mama anahamia church anakuachia Nyumba, km Uzi wa jamaa moja alituelezea humu kuwa mkewe amehamia kanisani.
true!!!!!!! kuna baba m1 na family yake siku kukiwa na wagen ye ndo anaombea chakula sala yake sasa anaombea adi waliokufa jinsi walivokuwa wakiishig na majiran zao huko nyuma yaan mpaka anamaliza ile sala miguu imeshachoka kusimam utakaa chiN akifumbua macho akuone ulkuw umekaa tangu awal maombi yanahamia kwako hapo na chakula mtakisahau na mikono ilishakauka zamaN.
acha kutuzingua wewe bible tunasoma sana Abigail alikua mke wa ngapi wa Daud?Shetani yuko kazini!
Hamjalazimishwa kuoa WALOKOLE, nendeni Bar, casino, madanguroni na sehemu nyingine kama hizo mtapata wake muwatakao.
Tuacheni sisi tuwaoe walokole.
By the way; Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna.
Ukiwa kahaba utapewa kahaba mwenzako.
Ukiwa mlokole utapewa mlokole ... Nk
Hivyo Mungu hawezi kumrisk mwanae, binti/kijana mlokole kwa kumpa mwenzi mpumbavu kama mtoa mada.
Utapewa mpumbavu mwenzako.
Kwa wasomaji wa BIBLIA mnakumbuka habari za wanawake wacha Mungu kama Ruthu na Abigaili? Mmesoma namna Mungu alivyowaepusha na wanaume wapumbavu na kuwapa wanaume wampendao Mungu? Boazi & Daudi?
Asomaye na Afahamu.
Mkuu ulikua Pool of Siloam nn, mana wale ni noumer!Mkuu acha tu usiseme sana, kuna imani Fulani hivi ikikuingia unatamani uwe unashinda na kulala kanisani, yaani hutaman chochotr ktk hii dunia sijui huwa wanadawa? Ilishawahi nitokea sema nilishtuka ndani ya miez miwili sitaki hata kusikia, upuuzi tu
Mkuu nilikuwa nasali kwa nabii mmoja anajiita Mzee Wa yesu, Siloam alihamia rafiki yangu mmoja akaacha na kazi na sasa ni kichaaa yapata miaka miwili, rafiki yake aliyeenda nae kule nae aliugua ukichaa na baadae kafa kabisa dunian hayupoMkuu ulikua Pool of Siloam nn, mana wale ni noumer!
Wasabato sadaka hachukui mchungaji hivyo hawez kukuahawish utoe kila kitu chako
Wasabato sadaka hachukui mchungaji hivyo hawez kukuahawish utoe kila kitu chako