Ukiona haya kwa mkeo kuwa dikteta haraka

jun255

JF-Expert Member
Nov 14, 2015
391
280
Kama mkeo anasali kwa walokole au amehamia kusali kwa walokole ndugu yangu hakikisha unamdhibiti sana na mapema kabla hajaharibiwa asali akiwa anajitambua

Wachungaji wa Kilokole(wanajiita manabii) kwa sababu sadaka inayotolewa kanisani huwa ni ya kwao(tofauti na Roma na Sabato ambako sadaka inapelekewa uongozi wa juu)

Basi kipato cha wachungaji hawa hutegemea waumini zaidi katika utoaji wa sadaka zao.

Asilimia kubwa wamekuwa wakiwatumia wanawake kwa sababu ni wepesi kuhadaika!

Mke wako anajazwa upepo wa kiimani na kufikia kuwa na mapenzi na imani yaliyopitiliza mipaka!

Ukianza kuona mkeo anabadilika taratibu ndani maombi ya kukemea yanazidi,muda wa kanisani unazidi na matoleo yanazidi kule kanisani ndugu tangu kuwa dikteta ghafla na hata ikiwezekana mzuie kama hawez kusali kawaida tu kwa kumtegemea mungu aache tu

Ukipuuzia jiandae kwa mkeo kutumia kipato chake chote kanisani/ mkeo kutumia robo tatu ya muda wake wote kanisani( kukesha na kila weekend kushinda wakimsaidia nabii wao kazi) hapa mpaka kazi zake kama mke anasahau

Ukicheza anafikia hatua ya kuliwa kabisa!

Mara nyingi wengi wetu tumeshakutana na kesi za hivi! Mke anapeleka kila kitu kanisani vikiisha ndo anashtuka alikuwa anaibiwa!

Sijaongea hivi kuharibia wachungaji wa kilokole hapana ila na wao nawashauri waache kutumia imani kutapeli na kuvunja ndoa za watu

Tumieni imani kuokoa na kusaidia watu ili waje kuupata wokovu na sio kutumia imani kujitajirisha


Kwa nitakayemkwaza anisamehe lakini huu ndio ukweli

Nawasilisha!!

Mgombea uvccm2017
 
true!!!!!!! kuna baba m1 na family yake siku kukiwa na wagen ye ndo anaombea chakula sala yake sasa anaombea adi waliokufa jinsi walivokuwa wakiishig na majiran zao huko nyuma yaan mpaka anamaliza ile sala miguu imeshachoka kusimam utakaa chiN akifumbua macho akuone ulkuw umekaa tangu awal maombi yanahamia kwako hapo na chakula mtakisahau na mikono ilishakauka zamaN.
 
true!!!!!!! kuna baba m1 na family yake siku kukiwa na wagen ye ndo anaombea chakula sala yake sasa anaombea adi waliokufa jinsi walivokuwa wakiishig na majiran zao huko nyuma yaan mpaka anamaliza ile sala miguu imeshachoka kusimam utakaa chiN akifumbua macho akuone ulkuw umekaa tangu awal maombi yanahamia kwako hapo na chakula mtakisahau na mikono ilishakauka zamaN.
Cha! Ningeondoka hapo nimuache na maombi yake
 
Ki ukweli hisia za kibinadamu haziepukiki na pia dhiki iliyojaa ndo kabisa inatupoteza,ukichunguza kwa makini viongozi wa dini wa sasa wapo kimaslah ndo mana iman imetoweka,kwakweli hizi sadaka siku hizi zinaliwa tu kotekote kila dini na kiladhehebu,mtu kama hujampa nafasi ya juu ya uongozi anahama kabisa nyumba ya ibada,na anapoenda anasambaza sumu maana anaona ulaji umempita.KHERI IMEKWISHA KIUKWELI WEMA WAMEPITA.
 
Wanaoingia kwenye ulokole wengi reasoning yao imekufa.

Vitu vingine vipo wazi kabisa ila wao wanaenda kama makondoo.
Me huwa nashangaa vitu vingine viko wazi ila ukiwaambia watakugomea mpk wakufanyie maombi wanakuwa kama watoto
 
Ni kweli kabisa ndugu, kwa anaebisha afanye uchunguzi kwenye makanisa haya; efatha, mlima wa moto kwa mama, kwa kakobe, kwa gwajima. Uone namna ndoa zao zilivyo au kama bado wana ndoa
 
Kama mkeo anasali kwa walokole au amehamia kusali kwa walokole ndugu yangu hakikisha unamdhibiti sana na mapema kabla hajaharibiwa asali akiwa anajitambua

Wachungaji wa Kilokole(wanajiita manabii) kwa sababu sadaka inayotolewa kanisani huwa ni ya kwao(tofauti na Roma na Sabato ambako sadaka inapelekewa uongozi wa juu)

Basi kipato cha wachungaji hawa hutegemea waumini zaidi katika utoaji wa sadaka zao.

Asilimia kubwa wamekuwa wakiwatumia wanawake kwa sababu ni wepesi kuhadaika!

Mke wako anajazwa upepo wa kiimani na kufikia kuwa na mapenzi na imani yaliyopitiliza mipaka!

Ukianza kuona mkeo anabadilika taratibu ndani maombi ya kukemea yanazidi,muda wa kanisani unazidi na matoleo yanazidi kule kanisani ndugu tangu kuwa dikteta ghafla na hata ikiwezekana mzuie kama hawez kusali kawaida tu kwa kumtegemea mungu aache tu

Ukipuuzia jiandae kwa mkeo kutumia kipato chake chote kanisani/ mkeo kutumia robo tatu ya muda wake wote kanisani( kukesha na kila weekend kushinda wakimsaidia nabii wao kazi) hapa mpaka kazi zake kama mke anasahau

Ukicheza anafikia hatua ya kuliwa kabisa!

Mara nyingi wengi wetu tumeshakutana na kesi za hivi! Mke anapeleka kila kitu kanisani vikiisha ndo anashtuka alikuwa anaibiwa!

Sijaongea hivi kuharibia wachungaji wa kilokole hapana ila na wao nawashauri waache kutumia imani kutapeli na kuvunja ndoa za watu

Tumieni imani kuokoa na kusaidia watu ili waje kuupata wokovu na sio kutumia imani kujitajirisha


Kwa nitakayemkwaza anisamehe lakini huu ndio ukweli

Nawasilisha!!

Mgombea uvccm2017
Imewahi kukutokea?
 
Shetani yuko kazini!

Hamjalazimishwa kuoa WALOKOLE, nendeni Bar, casino, madanguroni na sehemu nyingine kama hizo mtapata wake muwatakao.

Tuacheni sisi tuwaoe walokole.

By the way; Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna.

Ukiwa kahaba utapewa kahaba mwenzako.

Ukiwa mlokole utapewa mlokole ... Nk

Hivyo Mungu hawezi kumrisk mwanae, binti/kijana mlokole kwa kumpa mwenzi mpumbavu kama mtoa mada.

Utapewa mpumbavu mwenzako.

Kwa wasomaji wa BIBLIA mnakumbuka habari za wanawake wacha Mungu kama Ruthu na Abigaili? Mmesoma namna Mungu alivyowaepusha na wanaume wapumbavu na kuwapa wanaume wampendao Mungu? Boazi & Daudi?

Asomaye na Afahamu.
 
Shetani yuko kazini!

Hamjalazimishwa kuoa WALOKOLE, nendeni Bar, casino, madanguroni na sehemu nyingine kama hizo mtapata wake muwatakao.

Tuacheni sisi tuwaoe walokole.

By the way; Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna.

Ukiwa kahaba utapewa kahaba mwenzako.

Ukiwa mlokole utapewa mlokole ... Nk

Hivyo Mungu hawezi kumrisk mwanae, binti/kijana mlokole kwa kumpa mwenzi mpumbavu kama mtoa mada.
Ha mapovu vup? Soma ujumbe vzr acha kukurupuka kujibu!!

Bora mshinda bar hatalala huko kuliko mlokole anayeshinda mikesha na weekend anashinda kwa mchungaj kufanya kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom