Ukiona Dalili hizi jua uzee ndio huo unabisha mlangoni

Points nne umepatia lakini namba 2 umekosea...mi ni mzee wa miaka 50 lakini sikosi live band makumbusho, oldskool disko pale Ada Estate, hata pale Rotana kwa mzee Kisauji huwa sikosi...na napenda kulamba waigizaji wa kike.....kwenye gari langu nimefunga mziki mnene na napiga mziki wa aina zote, na nyumbani pia
...Wewe ni 'Mzée Kijana ' ! ...
 
...Ghafla unakuwa na Nafasi kubwa ya kwenda Kanisani Jumapili au Msikitini Ijumaa ! U Mzee ! ...
 
Unachosema ni kweli japo kwenye kila kanuni kuna exceptions.
•Sipendi kelele kabisa, nikiwa peke yangu utadhani hakuna mtu, watoto wanaregulate sauti kila nikiwepo.
• Umoja kila mahali, vikundi kuanzia mtaani kwangu, kanisani, magrp ya shule na chuo....ni sehemu ya kutengeneza security.
• Salam za shkamoo, japo sipendi sana hiyo salam, na huwa siitoi kwa walionizidi.
Actually ukishapiga mid30s uzee unakuja taratibu ila kwa uhakika sana, kuna wakati unajiambia bado kidogo ila muonekano unakusuta.

Wakati ukuta, soon tutakuwa wazee wa umri, 60+ in the near future na generation yetu itapita.

Wengi wanaokata moto ni 1950s, yaani speed yao ni kubwa sana.
 
Mimi nilifuta social media kama Instagram huwa naboreka na habari za wasanii na entertainment, miaka ya nyuma nilikua naifuatilia sana miziki,movies nk
 
Unachosema ni kweli japo kwenye kila kanuni kuna exceptions.
•Sipendi kelele kabisa, nikiwa peke yangu utadhani hakuna mtu, watoto wanaregulate sauti kila nikiwepo.
• Umoja kila mahali, vikundi kuanzia mtaani kwangu, kanisani, magrp ya shule na chuo....ni sehemu ya kutengeneza security.
• Salam za shkamoo, japo sipendi sana hiyo salam, na huwa siitoi kwa walionizidi.
Actually ukishapiga mid30s uzee unakuja taratibu ila kwa uhakika sana, kuna wakati unajiambia bado kidogo ila muonekano unakusuta.

Wakati ukuta, soon tutakuwa wazee wa umri, 60+ in the near future na generation yetu itapita.

Wengi wanaokata moto ni 1950s, yaani speed yao ni kubwa sana.

Hatari sana mkuu
 
Wakuu mpo Salama!

Kuna Watu hawajui kuwa namna uzee unavyoingia. Sio ajabu wameshaingia uzee lakini hajui au hawana uhakika.

Sasa hizi ni moja ya dalili kuu zinazoashiria kuwa unaingia katika uzee.

1. Kufananisha Watu au Mahali au matukio
Kuna ile ukimuona mtu unafikiri ulimuona wapi hata kama hujawahi kumwona kabisa. Hali hiyo ukianza kuiona jua huo ndio mwanzo kabisa wa uzee. Mara nyingi hali hiyo huanza mtu akiwa na miaka 25.

Kadirii unavyokua ndio hali hiyo inazidi.

Hiyo ni kupoteza kumbukumbu.

Kuna ile upo sehemu ambayo ndio siku ya kwanza umefika lakini unajiona kama uliwahi kufika eneo hilo. Huo ndio uzee wenyewe 😃.

Au unafanya tukio lakini unaona uliwahi kulifanya lakini haukumbuki vizuri.

Huo ndio uzee wenyewe umegonga mlango.

Hali hizo husababishwa na wingi wa majukumu na akili kuwa na mambo mengi.

2. Kupoteza Interest na Ishu za Muziki na waigizaji.
Yaani ukiwaona wanamuziki unaona kama wanafanya mambo ya kitoto. Kwa upande wangu hali hiyo ilinipata tangu nikiwa ninamiaka 22. Yaani nikiona mwanamuziki au muigizaji namchukulia kama mtoto. Sipo interest naye na sanaa yake.

Kikawaida wazee hawapendi Entertainment, kuintateiniwa, kuchezewa drama au vitu vyote vya akili nyepesi na uzee haviendi.

Ukiona unapunguza kukaa kwenye Luninga hata wakati ukiwa na muda labda ni weekend au umetoka kazini lakini huwezi kuangalià muziki au maigizo jua uzee unakunyemelea.

Ishu za Entertainment ni za vijana hasa vijana ambao bado hawana majukumu.

3. Majibu mafupi na hutaki Fujofujo au Ligi
Kikawaida maisha yalivyo yapo kwaajili ya kukutuliza, kuku- Neutralise. Yaani kukufanya uwe mpole. Utaanza kwa mbwembwe kutokana ni damu changa na bado maisha hayakupiga katafunua Ambakati moja matata.
Lakini ukishaona unamajibu mafupi na hautaki ligi na upo tayari kushindwa kama haidhuru. Ujue uzee ndio huo sasa.

Itafikia hatua mpaka Nzi utamuacha akufanye vile atakavyo😊.

4. Kuwa Jeshi la mtu Mmoja
Uzee unakuja na mikwaju mikali itakayokufanya ujikute upo pekeako.

Ujana utakuwa ni mtu wa marafiki wengi lakini ukishaona mara kwa mara unakuwa pekeako na unafanya mambo mwenyewe mwenyewe. Yàani jeshi la mtu mmoja basi elewa uzee ndio huo unakuta.

Kwa sisi ambao tumekaa na wazee tumeona maisha yao tunajua pale ambapo mtu uzee unamuanza.

Uzee huanza ukiwa na miaka 25. Siku utakayoanza kujiona upo mpweke, basi elewa kuwa upo kwenye hatua za awali za uzee. Hivyo utajaribu kuudhibiti kwa Kuoa na kuwa na familia. Lakini utakuwa haujaudhibiti zaidi ya kuuzuga tuu.

5. Kutaka Umoja ambao hauwezekaniki.
Uzee na utoto umetenganishwa na Ujana. Hivyo uzee na utoto kwa kiasi kikubwa kuna sifa zinaingiliana.
Watoto hupenda umoja, kufanya vitu kwa pamoja. Lakini kwenye ujana vitu vya pamoja na umoja hakuna kwani kila mtú anajiona ananguvu na anauwezo wa kufanya mwenyewe.

Ukishaona kwenye ukoo wenu wewe unataka na kutamani familia yenu muwe na umoja, mpendane na mshirikiane. Basi elewa huo ndio uzee wenyewe

Acha Nipumzike kwanza.
Maana uzee umeniingia.
TRUE MAN!!!!!!!!!!!!!
 
Sasa huu uzee unaoanzia miaka 22 ni uzee wa nchi gani maana kila dalili unasema kuanzia miaka 20+
Hii post ina ujinga mwingi asee
 
Wakuu mpo Salama!

Kuna Watu hawajui kuwa namna uzee unavyoingia. Sio ajabu wameshaingia uzee lakini hajui au hawana uhakika.

Sasa hizi ni moja ya dalili kuu zinazoashiria kuwa unaingia katika uzee.

1. Kufananisha Watu au Mahali au matukio

Kuna ile ukimuona mtu unafikiri ulimuona wapi hata kama hujawahi kumwona kabisa. Hali hiyo ukianza kuiona jua huo ndio mwanzo kabisa wa uzee. Mara nyingi hali hiyo huanza mtu akiwa na miaka 25.

Kadirii unavyokua ndio hali hiyo inazidi.

Hiyo ni kupoteza kumbukumbu.

Kuna ile upo sehemu ambayo ndio siku ya kwanza umefika lakini unajiona kama uliwahi kufika eneo hilo. Huo ndio uzee wenyewe .

Au unafanya tukio lakini unaona uliwahi kulifanya lakini haukumbuki vizuri.

Huo ndio uzee wenyewe umegonga mlango.

Hali hizo husababishwa na wingi wa majukumu na akili kuwa na mambo mengi.

2. Kupoteza Interest na Ishu za Muziki na waigizaji.
Yaani ukiwaona wanamuziki unaona kama wanafanya mambo ya kitoto. Kwa upande wangu hali hiyo ilinipata tangu nikiwa ninamiaka 22. Yaani nikiona mwanamuziki au muigizaji namchukulia kama mtoto. Sipo interest naye na sanaa yake.

Kikawaida wazee hawapendi Entertainment, kuintateiniwa, kuchezewa drama au vitu vyote vya akili nyepesi na uzee haviendi.

Ukiona unapunguza kukaa kwenye Luninga hata wakati ukiwa na muda labda ni weekend au umetoka kazini lakini huwezi kuangalià muziki au maigizo jua uzee unakunyemelea.

Ishu za Entertainment ni za vijana hasa vijana ambao bado hawana majukumu.

3. Majibu mafupi na hutaki Fujofujo au Ligi
Kikawaida maisha yalivyo yapo kwaajili ya kukutuliza, kuku- Neutralise. Yaani kukufanya uwe mpole. Utaanza kwa mbwembwe kutokana ni damu changa na bado maisha hayakupiga katafunua Ambakati moja matata.
Lakini ukishaona unamajibu mafupi na hautaki ligi na upo tayari kushindwa kama haidhuru. Ujue uzee ndio huo sasa.

Itafikia hatua mpaka Nzi utamuacha akufanye vile atakavyo.

4. Kuwa Jeshi la mtu Mmoja
Uzee unakuja na mikwaju mikali itakayokufanya ujikute upo pekeako.

Ujana utakuwa ni mtu wa marafiki wengi lakini ukishaona mara kwa mara unakuwa pekeako na unafanya mambo mwenyewe mwenyewe. Yàani jeshi la mtu mmoja basi elewa uzee ndio huo unakuta.

Kwa sisi ambao tumekaa na wazee tumeona maisha yao tunajua pale ambapo mtu uzee unamuanza.

Uzee huanza ukiwa na miaka 25. Siku utakayoanza kujiona upo mpweke, basi elewa kuwa upo kwenye hatua za awali za uzee. Hivyo utajaribu kuudhibiti kwa Kuoa na kuwa na familia. Lakini utakuwa haujaudhibiti zaidi ya kuuzuga tuu.

5. Kutaka Umoja ambao hauwezekaniki.
Uzee na utoto umetenganishwa na Ujana. Hivyo uzee na utoto kwa kiasi kikubwa kuna sifa zinaingiliana.
Watoto hupenda umoja, kufanya vitu kwa pamoja. Lakini kwenye ujana vitu vya pamoja na umoja hakuna kwani kila mtú anajiona ananguvu na anauwezo wa kufanya mwenyewe.

Ukishaona kwenye ukoo wenu wewe unataka na kutamani familia yenu muwe na umoja, mpendane na mshirikiane. Basi elewa huo ndio uzee wenyewe

Acha Nipumzike kwanza.
Maana uzee umeniingia.
Uzee ni kuanzia miaka sittin tu
 
Back
Top Bottom