Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,831
Asante chief.Agiza Pepsi baridiii nakuja kulipa hahahaaaaa umeongea binge la point
Asante chief.Agiza Pepsi baridiii nakuja kulipa hahahaaaaa umeongea binge la point
Du, mkuu inauma Sana tena sana kwa kweli, nilivokuwa mdogoemdogo nilikuwa nashangaa kwa nini watu walilie mapenzi? Lkn now nimejua hi kitu ni hatar.. Kilivhonisaidia ku handle hi hali ni kwa vile tu natembelea hapa jamiiforum then napata ideas nying kuhusu mapenzi bila ivo unaweza fanya maamuzi ya kutisha ET!Pole sana drama zinaumiza sana...Mapenzi ya kuachana na drama huwa anaeachwa bila hatia anatoa laana! Hata huko uendapo unabaki huna amani!
upo sahihi YANA COMPLICATIONS NYINGI BALAAMapenz magumu sana hasa ya kibongo,
Nenda tu utayajulia huko huko.Unakosa Bahati hivi hiviUnasaidia bhana
We jose hyo nambar 1 kila siku unatumia dawa nin,duuh maana sjui unafanyeje bhangosha,Ni kweli kabisa mkuu naunga mkono hoja...
Una akili sana wwMapenzi hayana formula,anaweza kuwa karibu ila mara paaap!unaachwa
[emoji23] [emoji23]Mapenzi hayana formula,anaweza kuwa karibu ila mara paaap!unaachwa
hamna dawa ninayotumia mkuu...We jose hyo nambar 1 kila siku unatumia dawa nin,duuh maana sjui unafanyeje bhangosha,