Ukiona dalili hizi Jua unakaribia kuachwa

Ukiona dalili hizi Jua unakaribia kuachwa

Acha kabisa mkuu ni inauma, mwenzenu nimeachwa Leo hii hii tena nilichoambiwa ni kuwa naomba tuachane. samahani Griffin 2 kwa kutokufikia matarajio yetu.

Sijajibu kitu mpaka muda huu kwani najisikia nimepigwa ganzi.
Hee!pole..na hajakwambia sababu?
 
Hahhahh hapana ila watu yanawakuta..mta hadi mara ya mwisho anaonana na mpenzi wake walikuwa vizuri ila ghafla unaambiwa hutakiwi tena

Haoneshi dalili wala nini
Suprize zinauma sana hizo
 
Acha kabisa mkuu ni inauma, mwenzenu nimeachwa Leo hii hii tena nilichoambiwa ni kuwa naomba tuachane. samahani Griffin 2 kwa kutokufikia matarajio yetu.

Sijajibu kitu mpaka muda huu kwani najisikia nimepigwa ganzi.
Dah mi pia sijielewi hapa, nimesafiri kidogo niko mkoa na tayari kuna njemba imepelekewa mzigo kimya kimya. Wacha niskilizie mlio tu! Ingawa hajui mchezo ninajua
 
Hakuna kitu kinatesa km mapenzi...wanaume eote baba yao ni mmoja hawana huruma ata kdg ila Mimi namuombea kla mwanaume anaemuimiza mwanamke ampendae akutane na maumivu zaid ya alompa mwenzake!! MUNGU WETU SOTE...!!!
 
Hahhahh hapana ila watu yanawakuta..mta hadi mara ya mwisho anaonana na mpenzi wake walikuwa vizuri ila ghafla unaambiwa hutakiwi tena

Haoneshi dalili wala nini
Hii ipo mana mi ni mhanga,sasa kinachouma ni pale leo kakudedicate good song Kama ya maua sama na ben paul 'this love 'af wiki inayofuata ni cha mbavu sasa unajiuliza huyu mtu hii mipango alikuwa nayo toka lini? Leo mmemeet amepokea na gift kaomba na hela asuke af after two weeks anasema I got no feelings..!! Hiki kisa kimenifunza mambo mengi kuhus mapenz dadek...........!!!!! Maumivu yake ni Kama dozi ya ukimwi asubuh, Mchana, na jion
 
Hii ipo mana mi ni mhanga,sasa kinachouma ni pale leo kakudedicate good song Kama ya maua sama na ben paul 'this love 'af wiki inayofuata ni cha mbavu sasa unajiuliza huyu mtu hii mipango alikuwa nayo toka lini? Leo mmemeet amepokea na gift kaomba na hela asuke af after two weeks anasema I got no feelings..!! Hiki kisa kimenifunza mambo mengi kuhus mapenz dadek...........!!!!! Maumivu yake ni Kama dozi ya ukimwi asubuh, Mchana, na jion
Mtu anang'ata na kupuliza...sasa wa nini watu kama hao?unashindwa kumove on na mambo yako sababu yake
Na unakuwa roho juu juu hujui leo atakuja na lipi jipya

Mi ni heri uniambie hunitaki kwa kweli
 
Mtu anang'ata na kupuliza...sasa wa nini watu kama hao?unashindwa kumove on na mambo yako sababu yake
Na unakuwa roho juu juu hujui leo atakuja na lipi jipya

Mi ni heri uniambie hunitaki kwa kweli
Hyu mtu alinipigia drama mpaka basi an,mpka nasema mapenzi hayapo fair kwa kweli
 
Hakuna kitu kinatesa km mapenzi...wanaume eote baba yao ni mmoja hawana huruma ata kdg ila Mimi namuombea kla mwanaume anaemuimiza mwanamke ampendae akutane na maumivu zaid ya alompa mwenzake!! MUNGU WETU SOTE...!!!
Na wanawake wanaotuumiza wanaume nao wafanyaje?
 
Mtu anang'ata na kupuliza...sasa wa nini watu kama hao?unashindwa kumove on na mambo yako sababu yake
Na unakuwa roho juu juu hujui leo atakuja na lipi jipya

Mi ni heri uniambie hunitaki kwa kweli
Most people are coward to tell it on your face maana mara nyingi sababu ya kuacha huwa ni selfish reasons. Aidha anakimbilia kwenye mteremko wa life au pesa tu
 
Most people are coward to tell it on your face maana mara nyingi sababu ya kuacha huwa ni selfish reasons. Aidha anakimbilia kwenye mteremko wa life au pesa tu
Ndio hao unaanza kutafutiwa vijisababu na hizo dalili alizoongelea mleta thread..sio fair asee
 
Back
Top Bottom