Ukiona Balozi za nje zimeanza kutoa matamko kuhusu hali ya kisiasa nchini ujue kuna jambo

Hawa wamarekani tuwaacheni maana wakiyataka yao hata mchina na mrusi wakuwaga wapole wanapigwa ban kama jf inavyotupiga sisi
Waambie hao makada wa Lumumba, wanaodhani Marekani ni sawasawa kama wanavyoichezea Chadema!
 
Tumeliona tamko lililotolewa na ubalozi wa Marekani kuhusu chaguzi ndogo zilizofanyiks tarehe 12 mwezi huu, na walichobaini kuhusu.uchaguzi huo ni kukataliwa kwa baadhi ya wagombea kwa sababu zisizo kuwa za msingi, matumizi ya nguvu kubwa ya Jeshi la Polisi na ukiukwaji wa sheria za uchaguzi na Uhuru wa kutoa maoni na kuminywa na kutotoa kwa usawa Uhuru wa kujieleza

Katika tamko lake NEC wamwataka hao ubalozi wa Marekani watoe ushahidi kuhusu madai yao na wakawaomba ubalozi huo ueleze umezipata wapi habari hizo wakati kulikuwa hakuna waangalizi wa kimataifa kwenye uchaguzi huo??

Picha unayopatikana hapa ni kuwa hao NEC wameendesha uchaguzi huo uliojaa "madudu" ya kila aina kwa kuwa wao waliamini kuwa uchaguzi huo haukuwa na waangakizi wa kimataifa!

Tuwaambie tu NEC kuwa ulimwengu wa sasa ni kijiji na hakuna "maovu" yoyote yatakayofanyika hapa nchini na dunia isijue

Nini la kufanyika baada ya kuvuliiwa nguo kwa "madudu" yaliyofanyika?

Ni vyema kwa sasa taasisi zote zilizotajwa na ubalozi huo wa Marekani, zikajirudi na kuwatendea haki na zikatumia weledi mkubwa badala ya kufanya kazi kwa kutii maagizo tuka juu ambayo hayazingatii sheria na tatatibu za nchii!

Vile vile taasisi zinazojibu tuhuma hizo ziepuke "kutunishiana" misuli na ubalozi huo kwa kueleza kuwa hawapaswi kutuingilia mambo yetu ya ndani, badala ya kuangalia ni mahali gani tumekosea

Hivi tunawezaje kuongea kauli ya kejeli kwa wamarekani, wakati hua tunaenda tembeza "bakuri" la kuomba misaaada kwao??

Tutafakari na kuchukua hatua pale tulipokosea
Yangu macho! kwa kweli nawaogopa sana hawa jamaa wakiingilia kati lazima damu imwagike nikiangalia historia napata shida sana
 
Tumeliona tamko lililotolewa na ubalozi wa Marekani kuhusu chaguzi ndogo zilizofanyiks tarehe 12 mwezi huu, na walichobaini kuhusu.uchaguzi huo ni kukataliwa kwa baadhi ya wagombea kwa sababu zisizo kuwa za msingi, matumizi ya nguvu kubwa ya Jeshi la Polisi na ukiukwaji wa sheria za uchaguzi na Uhuru wa kutoa maoni na kuminywa na kutotoa kwa usawa Uhuru wa kujieleza

Katika tamko lake NEC wamwataka hao ubalozi wa Marekani watoe ushahidi kuhusu madai yao na wakawaomba ubalozi huo ueleze umezipata wapi habari hizo wakati kulikuwa hakuna waangalizi wa kimataifa kwenye uchaguzi huo??

Picha unayopatikana hapa ni kuwa hao NEC wameendesha uchaguzi huo uliojaa "madudu" ya kila aina kwa kuwa wao waliamini kuwa uchaguzi huo haukuwa na waangakizi wa kimataifa!

Tuwaambie tu NEC kuwa ulimwengu wa sasa ni kijiji na hakuna "maovu" yoyote yatakayofanyika hapa nchini na dunia isijue

Nini la kufanyika baada ya kuvuliiwa nguo kwa "madudu" yaliyofanyika?

Ni vyema kwa sasa taasisi zote zilizotajwa na ubalozi huo wa Marekani, zikajirudi na kuwatendea haki na zikatumia weledi mkubwa badala ya kufanya kazi kwa kutii maagizo tuka juu ambayo hayazingatii sheria na tatatibu za nchii!

Vile vile taasisi zinazojibu tuhuma hizo ziepuke "kutunishiana" misuli na ubalozi huo kwa kueleza kuwa hawapaswi kutuingilia mambo yetu ya ndani, badala ya kuangalia ni mahali gani tumekosea

Hivi tunawezaje kuongea kauli ya kejeli kwa wamarekani, wakati hua tunaenda tembeza "bakuri" la kuomba misaaada kwao??

Tutafakari na kuchukua hatua pale tulipokosea
Hii kujifariji kwa ' Here comes my big brother to beat your brains in' inadhalilisha sana. Pengine nakosea lakini kwa muda mrefu sana nimethubutu kuamini kwamba sisi waafrika ni binadamu kama binadamu wengine na kwamba utafika wakati nasi tuta kua kisayansi, kifikra, kijamii na hata kwenye siasa zetu. Kwamba utafika muda ambapo tutakamilika kama binadamu kwa kutojiletea matatizo ya kipumbavu, na kutatua matatizo yetu ya kawaida kwa kutumia bongo zetu na rasilimali zetu wenyewe bila kusaidiwa kwa ubaya au kwa wema na watu wengine. Sijakata tamaa but I am very disappointed so far.
 
Kumbukeni baba Taifa alivyosema kuwa kama Rwanda ingekuwa Kuwait asngeruhusu genocide itokee pale, na kweli si unaona kilchomtokea Sadam Hussein kuivamia Kuwait aliwapa sababu za kwenda kupora mafuta ya Iraq hadi Leo? Makampuni ya waliopigana vita ya Kuwait ndio wanaochimba mafuta ya Iraq eti hadi warudishe gharma ya vita ya kumuondoa Sadam. Undumila kuwili upo duniani kote,.Samakimkubwa kula mdogo IPO kimataifa ,kitaifa , shuka hadi ngazi ya familia . Dunia ya usawa baaado sana safari ni Ndefu ila kuanzia feudalism Slavery .colonialism hadi hapa tulipo tunasogea si vyema kukata tamaa kabisa au kuwa na ndoto eti miaka si mingi Uhuru kamili kwa kila MTU utakuwepo , utapata msongo Wa Mawazo bure.
 
Tumeliona tamko lililotolewa na ubalozi wa Marekani kuhusu chaguzi ndogo zilizofanyiks tarehe 12 mwezi huu, na walichobaini kuhusu.uchaguzi huo ni kukataliwa kwa baadhi ya wagombea kwa sababu zisizo kuwa za msingi, matumizi ya nguvu kubwa ya Jeshi la Polisi na ukiukwaji wa sheria za uchaguzi na Uhuru wa kutoa maoni na kuminywa na kutotoa kwa usawa Uhuru wa kujieleza

Katika tamko lake NEC wamwataka hao ubalozi wa Marekani watoe ushahidi kuhusu madai yao na wakawaomba ubalozi huo ueleze umezipata wapi habari hizo wakati kulikuwa hakuna waangalizi wa kimataifa kwenye uchaguzi huo??

Picha unayopatikana hapa ni kuwa hao NEC wameendesha uchaguzi huo uliojaa "madudu" ya kila aina kwa kuwa wao waliamini kuwa uchaguzi huo haukuwa na waangakizi wa kimataifa!

Tuwaambie tu NEC kuwa ulimwengu wa sasa ni kijiji na hakuna "maovu" yoyote yatakayofanyika hapa nchini na dunia isijue

Nini la kufanyika baada ya kuvuliiwa nguo kwa "madudu" yaliyofanyika?

Ni vyema kwa sasa taasisi zote zilizotajwa na ubalozi huo wa Marekani, zikajirudi na kuwatendea haki na zikatumia weledi mkubwa badala ya kufanya kazi kwa kutii maagizo tuka juu ambayo hayazingatii sheria na tatatibu za nchii!

Vile vile taasisi zinazojibu tuhuma hizo ziepuke "kutunishiana" misuli na ubalozi huo kwa kueleza kuwa hawapaswi kutuingilia mambo yetu ya ndani, badala ya kuangalia ni mahali gani tumekosea

Hivi tunawezaje kuongea kauli ya kejeli kwa wamarekani, wakati hua tunaenda tembeza "bakuri" la kuomba misaaada kwao??

Tutafakari na kuchukua hatua pale tulipojikwaa......
mnawashwa matako nyie mnaoshabikia wazungu
 
Marekani ni nchi ya kwanza kwa umahiri wa ukachero duniani; ni nchi ambayo ikitamka jambo basi ulimwengu mzima unasikiliza kulikoni.

washatujuza tayari means tumeingia kwenye rada za kimataifa - ni uamuzi wetu kujirekebisha au la.
 
Kwa vile kule ulikofanyika uchaguzi wameshapata wawakilishi (japo ni wa chama tawala), sasa ni wakati wao kuwatuma hao wawakilishi kupeleka malalamiko yao juu ya uvunjifu wa sheria au haki za binadamu walioushuhudia. Wawakilishi ndiyo moja ya majukumu yao.
 
Hamna kitu hapo??

Mwambie Jiwe kama hajipendi awatunishie msuli wamarekani!

Mpaka ubalozi wa Marekani unatia tamko kama lile, basi ujue wamejiridhisha pssipo shaka yoyote kuwa chaguzi zile zilikuwa na "madudu" yasiyokuwa ya kawaida!
ubalozi wa Marekani wamesema ukweli mtupu na siku zote CCM huwa hawapendi kuambiwa ukweli na tume ya uchaguzi wajiandae yule mkurugenzi wake tayari FBI na CIA wanatafakari yale maneno yake aliyosema kuwa Marekani ni nani? Sasa Marekani watamuonyesha wao ni nani kwani pesa zao wanazoleta nchini kazi yake ni kuleta maendeleo si kununua wapinzani kwa gharama kubwa na kurudia chaguzi za uchakachuaju huku Polisi wakitumika kupora Ushindi na kuwasimika CCM kwa njia haramu.
 
Kwa siasa za Africa hayo matamko watayatoa Sana Tu mpaka wachoke wenyewe.
 
Kwa vile kule ulikofanyika uchaguzi wameshapata wawakilishi (japo ni wa chama tawala), sasa ni wakati wao kuwatuma hao wawakilishi kupeleka malalamiko yao juu ya uvunjifu wa sheria au haki za binadamu walioushuhudia. Wawakilishi ndiyo moja ya majukumu yao.
Marekani wana vyombo vyao vya usalama popote wanapokuwa Duniani wanajua na ushahidi wanao kuanzia video picha mpaka mikutano ya Siri ya CCM na Polisi wakipanga jinsi ya kupora Ushindi toka kwa wapinzani, ukiona Marekani kaanza kupiga kelele ujue wameanza kuchoka na unyanyasaji huo ni vyema tume ya uchaguzi wajipange waache uonevu uchakachuaji na hujuma zote kwa wapinzani.
 
Wakati wa Mwalimu ubalozi huu ungefungwa kwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi huru. Hoja ni moja: Wafauate taratibu za kufanya kazi nchini.

Hizo taratibu ni zipi tujuze wenzio kina Kayumba?!
 
Back
Top Bottom