Ukiniona nipo kwenye ndoa na sijawahi kukupa kadi ya harusi kwa ajili ya mchango; usiniletee kadi yako ya mchango wa harusi

sawa kabisa, tuende sawa na hali ya uchumi.,,,,naunga mkono hoja
 
Tuna changishana hela then after one month majitu yame achana sasa hivi sichangi, kuna jamaa yangu mmoja nlitoa laki 2 ndoa haikudumu hata mwaka
 
Mimi sichangii mtu harusi hata siku moja, naona ni ujinga tu.....kuoa anaoa mtu mwingine halafu mimi nimchangie? Kama mtu hauko tayari kuoa si lazima ujilazimishe kuoa.
 
Hizi Issue za michango ya harusi nilishaachana nazo miaka kumi iliyopita kiasi kwamba hata hapa kazini wananijua kuwa sichangiaji hivyo hata kadi hawajishughulishi kunipa
 
Hizi Issue za michango ya harusi nilishaachana nazo miaka kumi iliyopita kiasi kwamba hata hapa kazini wananijua kuwa sichangiaji hivyo hata kadi hawajishughulishi kunipa
Mambo ya maradhi hawachangii, ila mambo ya kurukaruka ukumbini wanataka michango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…