cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Rais kasifu Waumini kutovaa barakoa,kuonyesha hata barakoa sio chochote kwa corona
Kawambia watanzania kupitia waumini hakuna haja ya kuvaa barakoa
Wale viongozi wenye vihelehele vya kubana watu mtaani kuvaa barakoa na sanitizer tutazenguana vibaya kama hamjamsikia boss wenu
Za kuambiwa changanya na zako
Kawambia watanzania kupitia waumini hakuna haja ya kuvaa barakoa
Wale viongozi wenye vihelehele vya kubana watu mtaani kuvaa barakoa na sanitizer tutazenguana vibaya kama hamjamsikia boss wenu
Za kuambiwa changanya na zako