Nina wax wax na iq yako
Yaani sijui nilizimia sijui nilizirai, sijui nilipoteza fahamu, sijui nilikaribia kufa!!! yaani sielewielewi
Nina wax wax na iq yako
Alafu bro unakumbuka ulikuwa umeahidi kufa ifikapo kipindi fulani ila wadau tunashangaa ahadi yako haitimii wakati mda uliojiwekea umekwishapita kitambo!
Nilizishinda nguvu za kifo na kiburi
Heeeee una singa mwenzetu.....kila wiki??
Nani kakwambia nishatoka hospitali?Baada ya kutoka hospital umemjibuje sasa
bora, akomeshe umalaya!
Mnanisimanga?????Asaval jmn ..... loooooo kaz kufungua na kufungaaa tuuu zipuuu
Hkn cha ushaur hapo aseee ngj akufundisheee kwnz kdg
Nsitu hyo.....mbeya!!!
Story za bujibuji bhana...
Haaaa...haaaa...haaaa...comment yako imenifanya nicheke sana maana imeambatana na chuki dhidi ya wanaume pamoja na visasi.
Nawapenda sana wanaume najua umuhimu wao ila kwa wasiojielewa ni zaidi ya chuki.