miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Story za bujibuji bhana...
Yaani ni kuzizoea tu......
Story za bujibuji bhana...
Ivi mzima wewe! huoni hata haya kuandika huu upuuzi wako. Heti kashamba kashamba! ningemjua uyo binti ningempeleka kwa babu yangu maisha yako KABATI LISINGE INUKA HILO mchafuzi mkubwa weeeeeeeeeee.
Yaani unafuga kichanga mpk nyoka haonekani??usirudie tena.......maana tunaopenda kunyonya ile inshu mnatupa kazi yakutembea na toothpick!!
Wee wee wee angalia sana dogo utaumiaa!
Story za bujibuji bhana...
Mungun wangu!
Hee kumbe mtu mwenyewe umo humuhumu JF!!!!Ivi mzima wewe! huoni hata haya kuandika huu upuuzi wako. Heti kashamba kashamba! ningemjua uyo binti ningempeleka kwa babu yangu maisha yako KABATI LISINGE INUKA HILO mchafuzi mkubwa weeeeeeeeeee.
Mkuu nahisi labda umepata mshituko kutokana na taarifa alokupa huyo one night stand wako...
Asikutishe bwana anaeloga hajitambi wala hatoi vitisho anataka tu kukupima asikie jinsi gani uko serious naye au la...sasa na wewe hebu mrushe roho mwambie tangu siku mlipomaliza game jogoo hawiki ili akate tamaa..maana kinachomfanya akung'ang'anie mfanye aone hakipo...
Pia kumbuka kuchovya chovya kubaya..wengine samaki Wa sumu kaka...kama umri tayari jitahidi tu utafute mwenza wako maana hata maisha yenyewe siku hizi mafupi..!!
Yaani unafuga kichanga mpk nyoka haonekani??usirudie tena.......maana tunaopenda kunyonya ile inshu mnatupa kazi yakutembea na toothpick!!
Hata kama siamini, yeye anatunza uchafu ili nini kiwe nini?Mkuu binafsi utashangaa anaenda kufanyia nini...swali ni Dogo tu ambalo ningependa nikuulize...Je unaamini katika uchawi na mambo yanayofanana na hayo..??
Ileje MbeyaNdo wa2 w mkoa gan hao??@ Bujibuji
Hata kama siamini, yeye anatunza uchafu ili nini kiwe nini?