Ukiniacha Nakuloga

Ukiniacha Nakuloga

Ivi mzima wewe! huoni hata haya kuandika huu upuuzi wako. Heti kashamba kashamba! ningemjua uyo binti ningempeleka kwa babu yangu maisha yako KABATI LISINGE INUKA HILO mchafuzi mkubwa weeeeeeeeeee.

Nishapata jibu kumbe ndo mchezo wako enh nimekusoma
 
Nawapenda sana wanaume najua umuhimu wao ila kwa wasiojielewa ni zaidi ya chuki.

Unawapenda wanaume??? Wangapi kwa mtindo huo bas hata wewe unaonesh una ka element ka kua na mchepuko wa pembeni bishaaaaaa
 
Kaka usikurupuke we tulia, ndoa si lazima ukimuoa kwa stail hiyo hamtaishi kwa amani.jambo hili lilimtokea kaka yangu na akaoa siku hizi anajuta sana maana aliambiwa atalogwa.
 
Mapenzi yananitia wazimu.

Haka kabinti kashambakashamba nilikavagaa ili tu kukata kiu, gemu ilikuwa kali na iliyojaa ufundi kwa timu zote mbili.

Kipindi cha mapumziko binti si ndio akachukua kifaa na kuanza kunipunguza nyasi, maana nilikuwa na bonge la msitu.

Tukarudi ulingoni kwa nguvu na kasi mpya kuliko ile ya mwanzoni.

Kuja kutahamaki ni asubuhi, nikajiandaa fasta na kuelekea kazini, nikamdrop yule binti mitaa jirani na kwao kisha tukaagana.
Nikiwa kwenye mapumziko ya chakula cha mchana nikapokea simu kutoka kwa yule binti, "ahhh nimezimika na game lako, sitaki kukupoteza, hakika nimepata mume wa ndoto zangu".

Nikamjibu kirahisi tu kwa lugha ya nyumba, sahau....it was just a one night stand.

Binti akang'aka, "Unasemaje?

Nikamjibu hatuwezi kuoana, yaani tumeonna hata mwezi hatuna halafu leo iwe ndoa?
Akanijibu.

"Kwa taarifa yako yale mav*******z yako ninayo, na ukiniacha nitakuroga"

Saa hizi ndio nazinduka najikuta niko hospitali na chupa yangu ya drip
Unamakosa mengu Mkuu maana wewe ulitakiwa usikubali kunyolewa uonekane ndo fashion yako!pili inamaana mlipokutana jana mkazimikia Mande Guest house au Pachoto Enzi za ujana wangu miaka hiyoooo!!Inamaana ukurudikwako na kubadili nguo wewe ukapitiliza mpaka mzigoni??We kiboko!Sasa nenda kaoe!
 
Unamakosa mengu Mkuu maana wewe ulitakiwa usikubali kunyolewa uonekane ndo fashion yako!pili inamaana mlipokutana jana mkazimikia Mande Guest house au Pachoto Enzi za ujana wangu miaka hiyoooo!!Inamaana ukurudikwako na kubadili nguo wewe ukapitiliza mpaka mzigoni??We kiboko!Sasa nenda kaoe!
Baba Preta umeua
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sasa tatizo nilipi? Kama ni kuoa tembeza kadi.
 
Back
Top Bottom