Ukiniacha Nakuloga

Ukiniacha Nakuloga

Yaani unafuga kichanga mpk nyoka haonekani??usirudie tena.......maana tunaopenda kunyonya ile inshu mnatupa kazi yakutembea na toothpick!!
Afu mkuu usiongee tena hii kitu hadharani. Yaani umenivuruga kabisa kisaikolojia. Yaani hakuna kitu napenda zaidi ya hiyo inshu uloitaja.Huwa naifurahia kuliko ile ya kawaida.
 
Ha ha ha ha nawapenda kwa kweli ndio waume, zetu baba zetu, kaka zetu kw nini nisiwapende ila ako ka mchepuko apa kwangu "No"
Unawapenda wanaume??? Wangapi kwa mtindo huo bas hata wewe unaonesh una ka element ka kua na mchepuko wa pembeni bishaaaaaa
 
Kama kweli mnyamanyafu unalo hilo limekuganda!ni ma gwiji balaa watu wa mbeya wanawajua hao,hata ukipata mchumba wa huko kwa wanaowafahamu vizuri wanakataaga kuoa au kuolewa nao,sasa mkomage kuchezea watoto wa watu!
 
hahahahaaa, jamaa umechangamsha jamvi, asikutishe huyo mwambie ukinyoa tena utampelekea mengine,,,, akijichanganya bandua tena kamanda,,, we c kidume cha kutest kila sketi.....
 
Duh, najuwa ni kichekesho, ila hakuna cha kuloga wala kulogana, mnawafaidisha matapeli tu, mtashangaa waganga wananua ka Vitz na nyie kuishia kufulia..
Ila kama anakusanya ma**zi, siku nyingine mwachie mengine hasa kama unaona kwako kama una ka msitu! Kakubali kuwa jalala, wajinga ndio.....
 
Duh, najuwa ni kichekesho, ila hakuna cha kuloga wala kulogana, mnawafaidisha matapeli tu, mtashangaa waganga wananua ka Vitz na nyie kuishia kufulia..
Ila kama anakusanya ma**zi, siku nyingine mwachie mengine hasa kama unaona kwako kama una ka msitu! Kakubali kuwa jalala, wajinga ndio.....
Nimeingiwa na positive mind, saa hizi nataka nifuge afro jingine halafu nawatangazia waganga wa kienyeji kuwa kuna bidhaa mya imeingia mjini inauzwa kwa bei poa. Najua waganga, wazabizabina, washirikina na wengine wanaofanan na hao watachangamkia hii tenda.
 
red: local/traditonal science
blue: ukiwa mchawi utafundishwa na kuzielewa
yellow: proof ipo kwa kuwa watu wanarogwa

Sayansi ya aina gani? Principles zake zikoje?

Mfumo wake wa kupata proof ni upi?
 
hahahahaaa, jamaa umechangamsha jamvi, asikutishe huyo mwambie ukinyoa tena utampelekea mengine,,,, akijichanganya bandua tena kamanda,,, we c kidume cha kutest kila sketi.....
Huu ushauri umekamilika, hahahhaha nasisitiza tena mwambie ukinyoa utampelekea na mengineeeeee teh! teh! hapa mjini bhana yanini mtu akutishe? mtu mzima atishiwi nyau bhana
 
apana nimecheka! daaaah pole kwanza kalikuwa kamchepuko nn?sio dili mkuu baki njia kuu.
 
Kwa thread zako za namna hii lazima unawamega sana kina lara, @lara1 humu ndani ya jamvi
Mapenzi yananitia wazimu.

Haka kabinti kashambakashamba nilikavagaa ili tu kukata kiu, gemu ilikuwa kali na iliyojaa ufundi kwa timu zote mbili.

Kipindi cha mapumziko binti si ndio akachukua kifaa na kuanza kunipunguza nyasi, maana nilikuwa na bonge la msitu.

Tukarudi ulingoni kwa nguvu na kasi mpya kuliko ile ya mwanzoni.

Kuja kutahamaki ni asubuhi, nikajiandaa fasta na kuelekea kazini, nikamdrop yule binti mitaa jirani na kwao kisha tukaagana.
Nikiwa kwenye mapumziko ya chakula cha mchana nikapokea simu kutoka kwa yule binti, "ahhh nimezimika na game lako, sitaki kukupoteza, hakika nimepata mume wa ndoto zangu".

Nikamjibu kirahisi tu kwa lugha ya nyumba, sahau....it was just a one night stand.

Binti akang'aka, "Unasemaje?

Nikamjibu hatuwezi kuoana, yaani tumeonna hata mwezi hatuna halafu leo iwe ndoa?
Akanijibu.

"Kwa taarifa yako yale mav*******z yako ninayo, na ukiniacha nitakuroga"

Saa hizi ndio nazinduka najikuta niko hospitali na chupa yangu ya drip
 
Back
Top Bottom