T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,926
- 30,072
Mapenzi yananitia wazimu.
Haka kabinti kashambakashamba nilikavagaa ili tu kukata kiu, gemu ilikuwa kali na iliyojaa ufundi kwa timu zote mbili.
Kipindi cha mapumziko binti si ndio akachukua kifaa na kuanza kunipunguza nyasi, maana nilikuwa na bonge la msitu.
Tukarudi ulingoni kwa nguvu na kasi mpya kuliko ile ya mwanzoni.
Kuja kutahamaki ni asubuhi, nikajiandaa fasta na kuelekea kazini, nikamdrop yule binti mitaa jirani na kwao kisha tukaagana.
Nikiwa kwenye mapumziko ya chakula cha mchana nikapokea simu kutoka kwa yule binti, "ahhh nimezimika na game lako, sitaki kukupoteza, hakika nimepata mume wa ndoto zangu".
Nikamjibu kirahisi tu kwa lugha ya nyumba, sahau....it was just a one night stand.
Binti akang'aka, "Unasemaje?
Nikamjibu hatuwezi kuoana, yaani tumeonna hata mwezi hatuna halafu leo iwe ndoa?
Akanijibu.
"Kwa taarifa yako yale mav*******z yako ninayo, na ukiniacha nitakuroga"
Saa hizi ndio nazinduka najikuta niko hospitali na chupa yangu ya drip
Hahahahaha!!!!Duh!!Makubwa,,,,,,,ndo basi tena mkuu yaani kama aliondoka na mavuzi yako,hapo jua moja tu kuwa ndo mke