KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,078
Hahaa a aha h aha ha ha aha a ha ah aahah
dawa yake ndogo sana, ni PM nikupe
dawa yake ndogo sana, ni PM nikupe
aisee,ina maana aliondoka na wigi....hahaha
Na wewe hubeba mawigi ya watu?Kwetu huko..karibu😉
Yaani sijui nilizimia sijui nilizirai, sijui nilipoteza fahamu, sijui nilikaribia kufa!!! yaani sielewielewi
Mapenzi yananitia wazimu.
Haka kabinti kashambakashamba nilikavagaa ili tu kukata kiu, gemu ilikuwa kali na iliyojaa ufundi kwa timu zote mbili.
Kipindi cha mapumziko binti si ndio akachukua kifaa na kuanza kunipunguza nyasi, maana nilikuwa na bonge la msitu.
Tukarudi ulingoni kwa nguvu na kasi mpya kuliko ile ya mwanzoni.
Kuja kutahamaki ni asubuhi, nikajiandaa fasta na kuelekea kazini, nikamdrop yule binti mitaa jirani na kwao kisha tukaagana.
Nikiwa kwenye mapumziko ya chakula cha mchana nikapokea simu kutoka kwa yule binti, "ahhh nimezimika na game lako, sitaki kukupoteza, hakika nimepata mume wa ndoto zangu".
Nikamjibu kirahisi tu kwa lugha ya nyumba, sahau....it was just a one night stand.
Binti akang'aka, "Unasemaje?
Nikamjibu hatuwezi kuoana, yaani tumeonna hata mwezi hatuna halafu leo iwe ndoa?
Akanijibu.
"Kwa taarifa yako yale mavuzi yako ninayo, na ukiniacha nitakuroga"
Saa hizi ndio nazinduka najikuta niko hospitali na chupa yangu ya drip
Huyo mwanamke kabila gani? kama mfipa au mkaguru bora uoe tu.
Wafipa sio wachawi hata kidogo, ila wanajua kutumia nguvu za necha kuwatesa watuJamani si kila mfipa ni mchawi,yoyote yule akiamua anakuwa mchawi.
Ivi mzima wewe! huoni hata haya kuandika huu upuuzi wako. Heti kashamba kashamba! ningemjua uyo binti ningempeleka kwa babu yangu maisha yako KABATI LISINGE INUKA HILO mchafuzi mkubwa weeeeeeeeeee.
Hata kama siamini, yeye anatunza uchafu ili nini kiwe nini?
Mapenzi yananitia
wazimu.
Haka kabinti kashambakashamba nilikavagaa ili tu kukata kiu, gemu
ilikuwa kali na iliyojaa ufundi kwa timu zote mbili.
Kipindi cha mapumziko binti si ndio akachukua kifaa na kuanza
kunipunguza nyasi, maana nilikuwa na bonge la msitu.
Tukarudi ulingoni kwa nguvu na kasi mpya kuliko ile ya mwanzoni.
Kuja kutahamaki ni asubuhi, nikajiandaa fasta na kuelekea kazini,
nikamdrop yule binti mitaa jirani na kwao kisha tukaagana.
Nikiwa kwenye mapumziko ya chakula cha mchana nikapokea simu kutoka kwa
yule binti, "ahhh nimezimika na game lako, sitaki kukupoteza, hakika
nimepata mume wa ndoto zangu".
Nikamjibu kirahisi tu kwa lugha ya nyumba, sahau....it was just a one
night stand.
Binti akang'aka, "Unasemaje?
Nikamjibu hatuwezi kuoana, yaani tumeonna hata mwezi hatuna halafu leo
iwe ndoa?
Akanijibu.
"Kwa taarifa yako yale mav*******z yako ninayo, na ukiniacha nitakuroga"
Saa hizi ndio nazinduka najikuta niko hospitali na chupa yangu ya drip
Unaamini katika kurogwa katika zama hizi za sayansi na teknolgia!! Imani hizo ni za kijinga
tena lace wig.... hahhahahaa
Mapenzi yananitia wazimu.
Haka kabinti kashambakashamba nilikavagaa ili tu kukata kiu, gemu ilikuwa kali na iliyojaa ufundi kwa timu zote mbili.
Kipindi cha mapumziko binti si ndio akachukua kifaa na kuanza kunipunguza nyasi, maana nilikuwa na bonge la msitu.
Tukarudi ulingoni kwa nguvu na kasi mpya kuliko ile ya mwanzoni.
Kuja kutahamaki ni asubuhi, nikajiandaa fasta na kuelekea kazini, nikamdrop yule binti mitaa jirani na kwao kisha tukaagana.
Nikiwa kwenye mapumziko ya chakula cha mchana nikapokea simu kutoka kwa yule binti, "ahhh nimezimika na game lako, sitaki kukupoteza, hakika nimepata mume wa ndoto zangu".
Nikamjibu kirahisi tu kwa lugha ya nyumba, sahau....it was just a one night stand.
Binti akang'aka, "Unasemaje?
Nikamjibu hatuwezi kuoana, yaani tumeonna hata mwezi hatuna halafu leo iwe ndoa?
Akanijibu.
"Kwa taarifa yako yale mav*******z yako ninayo, na ukiniacha nitakuroga"
Saa hizi ndio nazinduka najikuta niko hospitali na chupa yangu ya drip