Uzuri wa siku hizi kuna DNA testing. Wanachukuliwa watoto wa pande zote wanapimwa kisha hao watoto wa mpangaji wanapokea sehemu ya mirathi. Wazo kuu ni lilelile alinioa sikuwa mpangaji, alinikabidhi hii nyumba na nimezaa naye watoto wawili wanaofanana ndonga na watoto wa bi mkubwa. Bi mkubwa atakufa kwa pressure nakwambia na kama umezaa naye watoto wawili ni ndoa ya zaidi ya miaka 4 hata kama mke alikuwa hajui ni uzembe wake. Anashindwaje kujua mbaya wake mpaka azae watoto wawili ndani ya nyumba yake?