Zinduna I missed youuuuu!wachaga wanajua hayo mambo ya mikao ya Laptop~~~~~ Aliishia tu kuuliza~~~ "Yethuuu, Sinduna hiyo nnini"
Hahahahahah...lol, leo ngoja nikuachie siku yako! Kesho usubuhi usubuhi nakuanzishia thread!wachaga wanajua hayo mambo ya mikao ya Laptop~~~~~ Aliishia tu kuuliza~~~ "Yethuuu, Sinduna hiyo nnini"
Bishanga, kuwa na subira! Kesho namwaga kila kitu hapa!!vipi Rejao ulikaa naye mkao wa avatar yako?
We wazani mazuri haya kutoleana siri hapa jamvini? hakawii mtu kuropoka hapa...."nimeonana naye jana amelala karibu na mfereji wa maji machafu yuko hoi" hahahahaa
- kwann mkuu...hutaki....
Weeeeee.....
JF hatupo doro,tunang'aa kama mji wa moro
Kwa sauti nyororo,za wadada waso na vihoro
Unahitaji supu ya kongoro,uchangamke usiwe sharobaroTumkaribishe zinduna,Kwa matarumbeta na vicheko.
Wallahi wanikumbusha, nyanya yangu kijakazi
alikuwa na maneno matamu, hakuna mfanowe
kama utamu wa halua, achia mbali wa tende
tenda wema wende zako, usingoje shukurani
Sublaheri Bwana!
kipi kikuchekeshechacho......?? (i hope i'm right)