Ukimya wake unaniweka njia panda, naomba ushauri

Ukimya wake unaniweka njia panda, naomba ushauri

You said it all brother! Sio dhambi kufall for a star/famous person... ila tu hawa watu ukichagua kuwapenda then ukubali yote,sio watu ambao unaweza ukaingiza miguu yako yote kwenye mahusiano.Wana mambo mengi ya kidunia,na huwa wanachelewa sana kufanya maamuzi ya msingi ya kimaisha kutokana mazingira yanayowazunguka. Pole sana mdada ...hapo it's clear,he's no longer interested with you.
Heart, asante!
Siwezi kupinga kwamba jamaa hana tena interest. Ukweli huu niliuona ila as the english say, LOVE IS BLIND. Nimeusikiliza moyo zaidi ya kutumia akili
 
pole sana sio kwako tu na kina dada wengine. Kina dada wengi mara nyingi mna mess sehemu ndogo sana katika maisha
-mume anatengenezwa-
hata mke anatengenezwa pia
sasa tatizo llilopo kwa dada zangu mara nyingi mnataka mume aliyetengenezwa, subiri atarudi tu
 
Dada kweli kusoma hujui basi hata picha huioni...

Haitaki tochi hiyo......

Hapo umerula , huyo ni mpita njia tu keshaku delete.
 
Heart, asante!
Siwezi kupinga kwamba jamaa hana tena interest. Ukweli huu niliuona ila as the english say, LOVE IS BLIND. Nimeusikiliza moyo zaidi ya kutumia akili
Learn the hard way ... Accept the truth and let go the feeling. Asikudanganye mtu you can get married even at 40,ili mradi uwe na the right person ulieridhika nae kwa hali zote.. Tunajifunza kutokana na makosa.
 
Dada kweli kusoma hujui basi hata picha huioni...

Haitaki tochi hiyo......

Hapo umerula , huyo ni mpita njia tu keshaku delete.
Eee kweli nililiona hili. Ila nilitaka tu nipate mawazo kutoka kwa watu tofauti. Pengine inawezekana ninakosea kuhukumu. Asante
 
Hahahaaa utafyte anayekupenda hivii mwanamke anapendaga kbl mwanaume hajamtamkia au akimtamkia? Huyo unampendea sifa za dada zako. Aliyeko serious ndo wako huyo kumbuka alishakuambia ninagirlfrnd just imagne kesho kukuambia chukuwa time atashndwa? Always nasema fungueni akili acheni kwenda kinyumbuuuu
 
Aisee pole..ila hawa wanaume bhana ni viumbe waongo sana...Mungu awasaidie kwa kweli,wanapenda kudanganya sana
 
Hahahaaa utafyte anayekupenda hivii mwanamke anapendaga kbl mwanaume hajamtamkia au akimtamkia? Huyo unampendea sifa za dada zako. Aliyeko serious ndo wako huyo kumbuka alishakuambia ninagirlfrnd just imagne kesho kukuambia chukuwa time atashndwa? Always nasema fungueni akili acheni kwenda kinyumbuuuu
Natamani sana angeniambia hivo. Ingenipa ahueni sana kwani kwenye maisha binadamu hapati kile anachotaka bali kile anachohitaji. Na mimi napenda kuwa muwazi na ndio maana nilifurahi alipokuwa muwazi kwa kuniambia ukweli kuhusu girlfriend. Basi angeendelea na huo uwazi basi kusema msimamo wake kuliko kuniacha njia panda.
 
Natamani sana angeniambia hivo. Ingenipa ahueni sana kwani kwenye maisha binadamu hapati kile anachotaka bali kile anachohitaji. Na mimi napenda kuwa muwazi na ndio maana nilifurahi alipokuwa muwazi kwa kuniambia ukweli kuhusu girlfriend. Basi angeendelea na huo uwazi basi kusema msimamo wake kuliko kuniacha njia panda.
Murete eeeee... uuushoo kusoma ujui hata kuangalia picha huwezi? Hivi mtoto wa kike maamuzi huna wewe kbsaaaa ktk maisha yko? Umesubiri kakutongoza umekubali na umefanya tabia mbaya sawaaaa hata mi nafanyaga ila mtu unamuona hasomeki hushtukii umetuliaas unataka akwambie mi sina mpango na wewe kwanza K yko inanuka au imejaa maji so unifai ndio utafungua akili! Ondokaaa kwake kama hutaki basi liaaliaaa kama wa 18yrs.
 
Murete eeeee... uuushoo kusoma ujui hata kuangalia picha huwezi? Hivi mtoto wa kike maamuzi huna wewe kbsaaaa ktk maisha yko? Umesubiri kakutongoza umekubali na umefanya tabia mbaya sawaaaa hata mi nafanyaga ila mtu unamuona hasomeki hushtukii umetuliaas unataka akwambie mi sina mpango na wewe kwanza K yko inanuka au imejaa maji so unifai ndio utafungua akili! Ondokaaa kwake kama hutaki basi liaaliaaa kama wa 18yrs.
Lol! Vyovyote vile, kuwa muwazi ni vizuri. Ningekubali tu yaishe. Sio kuzuga tuuu na kunienjoy. Kwani mtu kuwa muwazi inamgharimu nini?
 
Milk is everywhere yesterday, today, tomorrow, always, now and then!..... Should i keep a cow???? Wanawake acheni hako katabia ka kutoa papuchi mapema, inatuwekea ugumu sana sisi wanaume kuoa!...... Acheni hiyo tabia, siyo issue kabisa!..... Mnasababisha waoaji wanapungua!!
 
Lol! Vyovyote vile, kuwa muwazi ni vizuri. Ningekubali tu yaishe. Sio kuzuga tuuu na kunienjoy. Kwani mtu kuwa muwazi inamgharimu nini?
Oooiii utajua wewe endelea kungangania after short piriod njoo tupe mrejesho umefkia wapi na loshuuko wako!
 
Kila mtu ana siku yake rafiki!!..... Hata wewe siku ya kumshobokea mtu maarufu inakuja, believe me rafiki!
Bora umuambie mkuu.
Natamani ningependa kwingine, but LOVE IS BLIND!
 
Kakutongoza na kuomba game on the very same day. Umejirudisha kwake, akakuambia ana girlfriend, bado ukakubali. Kashakula tunda, sasa anakupotezea. Ishara zote hizo ina maana huzioni tu dada??

Take it from a man; desperate women(excuse my patois) are a turn off. You proved desperate ulipojirudisha kwake, baada ya kuweka ngumu mwanzo. You proved more desperate alivyokuambia ana girlfriend, na ukakubali. You're proving the most desperate anavyoku-ignore, na bado unamfata tu.

The fool is rich, and famous as you say. He got babes throwing apple pies at him from all angles. Not to be offensive, but you're one of them to him.
Kidhungu kina wanyewe, hata kama nimeelewa lakini mishipa yote ya fahamu inauma.
 
Back
Top Bottom