UKIMWI upo, tambueni thamani yenu

CD4 zipo vzr japo hataki kuanza dawa na hajajikubali kwasababu hakutegemea kama jambo hili halijatoka kwangu, bado ni changamoto japo ni miaka 5 sasa
mkuu huwa wanakuwaga hivyo hivyo
 
mkuu inaonekana alikuwa anajua na mjibu alishapewa kitambo,ila akahisi we lazima utahoji why mtt anyonyeshwi??
 
Nishasema ivi, raha ya dk 1 (when ejaculating) haiwezi nipotezea dira na mipango ya maisha ya miaka 70
utakuwa na kibamia, au sekunde 30 chali, kuamka mpaka jumatatu ijayo, hakuna aliekuwa mjanja kwa "k" hakuna cha osama, sadam, msomi ,una cheo, ww n daktar, hakuna mjanja kwa "k" ni tamuu ilee haikwepekiiii , mengne manusura ya m, mungu tuuu over!!
 
mkuu hospt wanawaambia wanyonyeshe kwa kipindi cha miezi sita kamili bila kumchanyia na kitu kingine chochote , baada ya hapo anaacha kunyonya mona kwa moja anaanza kutumia maziwa ya kopo
 
Duuh noma Sana aisee... Amua kweli mkuu
 
Asante sana Kwa kunipatia mwanga, kwasababu hata wakati ananipa taarifa hii alikuwa yupo simpo kama tunatania tu. hivyo hali yake aliifahamu kitambo na kosa langu ni mimi kutokwenda nae pamoja clinic wakati wa awali.
kosa kubwa sana tulifanyalo wanaume hilo.
 
Ila kuna watu wana maambukiz lakini wakipimwa hawana.
Hyo ipo kabisa,kuna jamaa kasha ua kibao lakini yeye kila akichek hana. Na akitambea na demu anaambukiza.
Hapo sijuagi ni kitu gani kwa kweli
mhh hamna kitu kama icho
 
Ni kweli hii inawezekana kabisa sisi watu wa afya kesi kama hizo tumekutana nazo sana ,,kuna mmoja alipona kwasababu alikuwa mlevi sana kwahiyo akawa ampandi Mkewe ndio pona pona yake
 
Duh! Kuna mambo mazito sana kwenye mahusiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…