Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Ni wazi sasa hofu ya ukimwi imepungua kama siyo kupotea kabisa, ukimwi siyo GONJWA la kutisha tena kama ambavyo tulivyokuwa tunaaminishwa, hili labda litakuwa fundisho kwetu siku nyingine mkiona Mzungu anawaambia mna ugonjwa na kuwalazimisha mnye madawa msimuamini!
Waliokufa (,,Wapummzike kwa Amani") na huo unaoitwa ukimwi wameuliwa na sumu ya madawa ya Mzungu na siyo Ugonjwa, kwani huu ugonjwa haupo, ni kama vile Global warming zote blah blah tu za watu kupiga hela!
Kama Serikali yetu ingewekeza nguvu zote ilizowekeza kwenye GONJWA hewa lililobatizwa jina la ukimwi kwenye kupambana na Malaria leo hii tungeshaondoa Malaria, lkn wapi ndiyo kwanza Mzungu anatuletea vyandarua alivyopigwa dawa, ambavyo hata madhara yake kiafya hatuyajui ...
Waliokufa (,,Wapummzike kwa Amani") na huo unaoitwa ukimwi wameuliwa na sumu ya madawa ya Mzungu na siyo Ugonjwa, kwani huu ugonjwa haupo, ni kama vile Global warming zote blah blah tu za watu kupiga hela!
Kama Serikali yetu ingewekeza nguvu zote ilizowekeza kwenye GONJWA hewa lililobatizwa jina la ukimwi kwenye kupambana na Malaria leo hii tungeshaondoa Malaria, lkn wapi ndiyo kwanza Mzungu anatuletea vyandarua alivyopigwa dawa, ambavyo hata madhara yake kiafya hatuyajui ...