UKIMWI ulivyo hapa Afrika Kusini

UKIMWI ulivyo hapa Afrika Kusini

Yaa yani ukimwi kwao ni kama ugonjwa wa kawaida tu hauwatii stress kama sisi
MTU anakwambia Leo siko sawa washkaji nimetoka kupima nimekutwa na ngoma
Dem wangu hajatulia atakuwa ndio kaniambukiza we unashangaa unaona huyu jamaa Yuko serious au anatania lakini ndio hivyo
Ebwanaaa eeh....wakati bongo akijua anao inakuwa siri na ni mwendo wa kutandaza nyaya tu ili kila mtu nyumba ake iwe na UMEME!...
 
Na huko sauzi nasikia anal sex kwao kawaida tu u amber rutty ndo furaha yao
 
Habali zenu wakuu Mimi bado nipo nakomaa na maisha ya huku bondeni japo magumu nayajua mwenyewe, ninachotaka kuwashitua wakuu ni kwamba hapa south watu wana UKIMWI sijawai kuona watu wameathilika Kama miji ya hapa bondeni, nimepima na wanawake 6 ili niwe nao kimapenzi cha ajabu wale 5 wana ngoma yaani wakuu naogopa hata kuchukua mizigo ya huku bola DAR wenye UKIMWI WACHACHE. NIWATAKIE MAISHA MEMA POLENI NA MAJUKUM
Tutaamini VP km kweli uko SA?
 
Ile sauzi Watoto wazuri bana khaaa. Toto za kizulu xhosa ni noma
 
Habali zenu wakuu Mimi bado nipo nakomaa na maisha ya huku bondeni japo magumu nayajua mwenyewe, ninachotaka kuwashitua wakuu ni kwamba hapa south watu wana UKIMWI sijawai kuona watu wameathilika Kama miji ya hapa bondeni, nimepima na wanawake 6 ili niwe nao kimapenzi cha ajabu wale 5 wana ngoma yaani wakuu naogopa hata kuchukua mizigo ya huku bola DAR wenye UKIMWI WACHACHE. NIWATAKIE MAISHA MEMA POLENI NA MAJUKUM
Chukua huyo mmoja ambaye hana.
 
Unaanza kunitisha sasa maana mitrip yako ya south, usije ukawa ulikanyaga kwa mapepari wa south.

Sio tuu utishike, ukae mbali na Kasie maana nai zaidi ya Matata.

Mahaba nayapenda sana na siwezi kuyaacha katu, bora nisile ila Mahaba niwe nayo na niyaishi 24/7.

Ukitishika na Kasie Zari si utamkimbia kama umeona Simba.... hehehehehee

Ukiishi kwa adabu na kujiheshimu wewe binafsi, Ukimwi utaupata kwa kuongezewa damu au kushirikiana nyembe kali au sindani na muathirika TENA bila kujua.

Pole kama ni mekuzidishia kutishika.
 
Be serious!! AIDS kills.

I am more than serious, Road Accidents kills more than AIDS!!

Wivu wa mapenzi baina ya wapenzi unaua zaidi ya UKIMWI.

By then UKIMWI ndo unaingia kutoka Uganda, ambapo mtu alikuwa naanza kuumwa, anakondeana na kubaki mifupa na kutoka madonda mwili mzima, umbo la mwili na taswira vyote vinapotea kwenye mwili wa muathirika.... na hatimaye anapoteza uhai baada ya kuugua kwa muda mrefu. Wakati huo AIDS ndo ilikuwa threat, kwa sasa sio threat tena sababu hauna dawa sawa ila unavipunguza makali ya kuathirika na unyanyapaa umekwisha.

Watu wanavaa plastic bila kupima na wanabadilishana tupu zao.... ukiona idadi kubwa sana ya wananchi wanashirikiana sana tupu zao bila woga ukue huo ugonjwa sio threat tena.

Ushawahi ona mgonjwa ana uvimbe wa shingoni, umepasuliwa hauponi, anakandikwa dozi ya mionzi anaugulia na maumivu makali hadi anakata roho bila matumaini ya kupona.... mbaya zaidi wataalam wa leo wameishia kutuambia vitu na baadhi ya vyakula vinavyoweza kusababisha kansa baada ya miaka kadhaa..... CANCER IS THREAT for the time being rather than AIDS.

Its not a MUST to agree with my views but that's a little FACT I know about the two diseases.

K' Matata.
 
Yaa yani ukimwi kwao ni kama ugonjwa wa kawaida tu hauwatii stress kama sisi
MTU anakwambia Leo siko sawa washkaji nimetoka kupima nimekutwa na ngoma
Dem wangu hajatulia atakuwa ndio kaniambukiza we unashangaa unaona huyu jamaa Yuko serious au anatania lakini ndio hivyo

Kumbuka hata ARV's za South wanakunywa kila baada ya miezi 6 ndio maana hawatishiki sio kama Bongo daily dawa na wewe hadi unachanganyikiwa
 
Ukimwi kitu gani ww!! Kwa maisha ya saiv huez linganisha ukimwi na kisukar,presha, cancer, homa ya ini nk. Pata hayo magonjwa hlf ghafla upone hlf uipate huo ukimwi!! Utanambia bora upate umeme kuliko presha hizo na hayo mavitu mengn
Siyo kweli, UKIMWI ni manifestation ya magonjwa mengi yakiwemo hayo uliyoyataja.
 
Mwanangu usishobokee demu wa kisouth ni kwere

Sijawahi kuona mademu warahisi kama wa kisouth ukikataliwa na demu wa kisouth basi hata mungu atakukataa

Ukienda joberg kwa mademu wa kizulu hawa ukitongoza unajichukulia goma hata 10 kwa mpigo
Ukienda cape town kwa hawa africano same thing warahisi pia mitaa ya manenberg parrow belhar kote western cape eastern cape nk nk mademu wakali sana hawa na warahisi mno

Mie cape town na joberg nimewasoma sana mademu wa huko wapo easy mno na wanapenda sana ngono

Be carefull kijana south kuna ukimwi kweli na mademu zao wapo cheap

Labda kidogo ukienda kwazulu natal umhlanga mitaa ya phoenix unit 14 16 nk kwa wahindi na wazungu ndio kidogo mademu wa huko vigumu kuwapata na huenda rate ya hiv ikawa chini uko


Ila hawa zulu people na africano hehehe na walivyo wazuri na misambwanda ni kwere
Mawazo yangu yote yapo maeneo mbagala na buguruni
Ivi izo South ni kama apa mbagala, buguruni na mwanannyamala
 
Tuma picha ya baadhi yao. Huenda ikatusaidi kubaini idadi ya mashoga hapa DAR
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom