I am more than serious, Road Accidents kills more than AIDS!!
Wivu wa mapenzi baina ya wapenzi unaua zaidi ya UKIMWI.
By then UKIMWI ndo unaingia kutoka Uganda, ambapo mtu alikuwa naanza kuumwa, anakondeana na kubaki mifupa na kutoka madonda mwili mzima, umbo la mwili na taswira vyote vinapotea kwenye mwili wa muathirika.... na hatimaye anapoteza uhai baada ya kuugua kwa muda mrefu. Wakati huo AIDS ndo ilikuwa threat, kwa sasa sio threat tena sababu hauna dawa sawa ila unavipunguza makali ya kuathirika na unyanyapaa umekwisha.
Watu wanavaa plastic bila kupima na wanabadilishana tupu zao.... ukiona idadi kubwa sana ya wananchi wanashirikiana sana tupu zao bila woga ukue huo ugonjwa sio threat tena.
Ushawahi ona mgonjwa ana uvimbe wa shingoni, umepasuliwa hauponi, anakandikwa dozi ya mionzi anaugulia na maumivu makali hadi anakata roho bila matumaini ya kupona.... mbaya zaidi wataalam wa leo wameishia kutuambia vitu na baadhi ya vyakula vinavyoweza kusababisha kansa baada ya miaka kadhaa..... CANCER IS THREAT for the time being rather than AIDS.
Its not a MUST to agree with my views but that's a little FACT I know about the two diseases.
K' Matata.