Ukimwi na Mapenzi

Mume wangu nakupenda sana, ujilinde, mimi siwezi kukulinda au kukuchunga kila uendapo, unaweza ukawa kuna mambo unayafanya ambayo mimi hutaki niyajue na wala sitaki nijue, Tafadhali sana lolote lile utakalofanya jua kuna ukimwi, Angalau ukumbuke kutumia kinga, kwakweli sitakusamehe wala kukuhudumia siku ukipatwa na ukimwi. Hayo ni maneno ambayo mke alikuwa anamwambia mumewe. Lakini baada ya miaka kadhaa ya ndoa kama nane hivi mke ikajulikana yeye ndio amepata ukimwi bahati nzuri mume alipoenda kucheki yeye alikuwa bado hajaathirika. Mbaya zaidi jamaa hajawahi kusikia wala kuhisi kama mkewe anatoka nje ya ndoa mpaka alipogundua dalili za ukimwi kwa mkewe.

Kweli ndoa ngumu. Kupata mtu muaminifu ni ndoto.
Kweli usim-count mtu ni msafi kwa sababu tu kasema fulani(mwingine) ni mchafu.
Hapa ndipo pale utakapogundua kuwa maamuzi ya kuvaa au kutokuvaa condom yapo kwa mwanaume. ndio maana mwanaume akisikia mkewe ametembea nje hasira yake inakuwa mbaya sana, na baada ya hasira kuisha bado kuna hofu itaendelea kutanda, je jamaa alitumia au hakutumia?
Mbaya zaidi mihuni ikishajua huyu ni mke wa mtu ndio huwa haitumii condom.
Na UKIMWI huu sometimes ndoa ni kama risky bussiness.
 
I read somewhere that the likelihoods of catching HIV less than 0,3% per coitus.
Ingekua kila coitus inaambukiza basi watu wangeisha duniani, tungebaki sisi tu.
Ngoja nitafute ile source then nije ni-edit this post. Nilishangaa mwenyewe!
Estimated HIV transmission risk per exposure for specific activities and events

ActivityRisk-per-exposure
Vaginal sex, female-to-male, studies in high-income countries0.04% (1:2380)
Vaginal sex, male-to-female, studies in high-income countries0.08% (1:1234)
Vaginal sex, female-to-male, studies in low-income countries0.38% (1:263)
Vaginal sex, male-to-female, studies in low-income countries0.30% (1:333)
Vaginal sex, source partner is asymptomatic0.07% (1:1428)
Vaginal sex, source partner has late-stage disease0.55% (1:180)
Receptive anal sex amongst gay men, partner unknown status0.27% (1:370)
Receptive anal sex amongst gay men, partner HIV positive0.82% (1:123)
Receptive anal sex with condom, gay men, partner unknown status0.18% (1:555)
Insertive anal sex, gay men, partner unknown status0.06% (1:1666)
Insertive anal sex with condom, gay men, partner unknown status0.04% (1:2500)
Receptive fellatioEstimates range from 0.00% to 0.04% (1:2500)
Mother-to-child, mother takes at least two weeks antiretroviral therapy0.8% (1:125)
Mother-to-child, mother takes combination therapy, viral load below 500.1% (1:1000)
Injecting drug useEstimates range from 0.63% (1:158) to 2.4% (1:41)
Needlestick injury, no other risk factors0.13% (1:769)
Blood transfusion with contaminated blood92.5% (9:10)
Sources: vaginal sex;[SUP]1[/SUP] anal sex;[SUP]2[/SUP] fellatio;[SUP]3[/SUP] [SUP]2[/SUP] mother-to-child;[SUP]4[/SUP] other activities.[SUP]5[/SUP]



HIV & AIDS Information :: How transmission occurs - Estimated risk per exposure



Subtype C is predominant in Southern and East Africa, India and Nepal. It has caused the world's worst HIV epidemics and is responsible for around half of all infections.
Mwali virusi vya ukimwi havifanani 100%. vinatofautiana hadi kwa 60%. HIV-1 subtype C ni choo, hauhitaji hata kuchubuka ili upate. Bahati mbaya nimeisahau link fulani ya MD Anderson inayoelezea vizuri. hapa chini nakuwekea nyingine uangalie au pia unaweza uka-gooogle mwenyewe.

HIV Types, Subtypes Groups and Strains
 
Dah haya mambo ya ndo mungu asaidie 2 nampa pole huyo men bsi amlee huyo mke wak asimwache
 
Subtype C is predominant in Southern and East Africa, India and Nepal. It has caused the world's worst HIV epidemics and is responsible for around half of all infections.
Mwali virusi vya ukimwi havifanani 100%. vinatofautiana hadi kwa 60%. HIV-1 subtype C ni choo, hauhitaji hata kuchubuka ili upate. Bahati mbaya nimeisahau link fulani ya MD Anderson inayoelezea vizuri. hapa chini nakuwekea nyingine uangalie au pia unaweza uka-gooogle mwenyewe.

HIV Types, Subtypes Groups and Strains
Sijabisha, ila si umeona hapo wametofautisha HIV in low income countries na high income countries? I think all that was taken into consideration walipofanya hiyo study. the site is a specialised site, not just an article.
 
Hii inashangaza lakini hutokea. before nilikuwa siamini, ikaja kutokea kwa ndugu yetu. wakati mke wake ana mimba(3months) ndugu yetu akaanza kuugua ukimwi, tukaenda hospitali kibao kuthibitisha kama ana huo ugonjwa, kila hospital tulioenda ilithibitisha kuwa anao. ndugu yetu akafariki. tukamchukua mke kwenda kumpima, kila tulikompeleka tukaambiwa hana, na mke akawa anang'ang'ania kuwa mumewe amerogwa kwa sababu ingekuwa ukimwi na yeye angekua nao. lakini ukweli ni kwamba ndugu yetu alikuwa na ukimwi. Mpaka leo hii sielewi iliwezekanaje.

Ya Mungu mengi.
 
Back
Top Bottom