denis fourplux
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 1,049
- 1,379
kiongozi naomba kukuuliza pia apa kwenye fangasi wa koo maana nina pacha wangu anasema koo linamsumbua now ni kama mwaka sasa.
na anasema anapata lympth node kweny shingo mara kwa mara na ata akikooa koo linakua kavu na kama kikoozi kikavu..kajaribu pima HIV mwaka sasa na kila baada ya miezi anapima ila yuko safi xo inaweza ikawa ndo iyo fungusi ya koo au..na kama n yenyewe matibabu yake n yapi au aende hospital gani wamfanyie check up
n.b ni mzee wa uvinza sana
na anasema anapata lympth node kweny shingo mara kwa mara na ata akikooa koo linakua kavu na kama kikoozi kikavu..kajaribu pima HIV mwaka sasa na kila baada ya miezi anapima ila yuko safi xo inaweza ikawa ndo iyo fungusi ya koo au..na kama n yenyewe matibabu yake n yapi au aende hospital gani wamfanyie check up
n.b ni mzee wa uvinza sana