Haahha apan ninatak kujifunza tu leoo maan kuna watu wan bish uku kitaaaaSio sahihi, kaa siku 28....rudia baada ya miezi 3...rudia tena baada ya miezi 6 ndiyo ujihakikishie afya yako.
Kama unaweza nenda damu salama pale wanaweza kuona maambukizi kuanzia siku 7.
Pole mkuu inaelekea umeteleza sikupatii picha stress ulizonazo...ila usijali itakua upo salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo damu salam ipo wapi sasa. nielekeze vizuriSio sahihi, kaa siku 28....rudia baada ya miezi 3...rudia tena baada ya miezi 6 ndiyo ujihakikishie afya yako.
Kama unaweza nenda damu salama pale wanaweza kuona maambukizi kuanzia siku 7.
Pole mkuu inaelekea umeteleza sikupatii picha stress ulizonazo...ila usijali itakua upo salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiogope MpwaHabari wana JF, naomba kufahamu upungufu Wa kinga mwilini unachukua muda gani kuonekana? Punde baada ya kuupata? Na IPI dalili kuu kuliko zote? Na kwenye kipimo huonekana baada ya muda gani?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Homa kali...Kuarishaa..Kupungua Uzito...Kutoka jasho hasa wakati wa usiku..Dalili za wiki la kwanza baada ya kupata ukimwi ni zipi
Hicho mnachotafuta mtakuja kukipata...Nimepima sija ukuta..siku ya saba baada ya tendo hilo
Iyo damu salam ipo wapi sasa.nielekeze vizuri
Aaaah Weee usipotoshe huwez kuona wale virus hata ukitumia light microscope huwez kuonaHapana mkuu accurate kabisa ni week 3 mpaka 4 japo sometimes hata mbili unaweza ona vijidudu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Uwepo wa antibody specific for HIV virus si ndo unaonesha kuwa Virus wapo au??? Na antibody huwa zinazlishwa within hizo weeks ila kwa uhakika zaidi ni miezi mi3...!!Aaaah Weee usipotoshe huwez kuona wale virus hata ukitumia light microscope huwez kuona
Tunacho angalia ni antibody antigen reaction
Ambayo Inaonesha baada ya miez mitatu Kama mtu kapata exposure kwa mtu mwenye HIV
Sent using Jamii Forums mobile app