shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,800
- 4,322
Yap unakonda kwa mawazo
shushushu VIP
Yap unakonda kwa mawazo
Ni bora kupima tu hamna namnaYap unakonda kwa mawazo
shushushu VIP
Wiki mbili tu! Lymph nodes ni lazima zipambane na foreign matters, na utajua kwa kuuma na kuvimba ingawa si kwa kiasi kikubwa!Habari wana JF, naomba kufahamu upungufu Wa kinga mwilini unachukua muda gani kuonekana? Punde baada ya kuupata? Na IPI dalili kuu kuliko zote?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Lymph node huwa zinauma mkuu au sijakupata?Wiki mbili tu! Lymph nodes ni lazima zipambane na foreign matters, na utajua kwa kuuma na kuvimba ingawa si kwa kiasi kikubwa!
If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
Ndio zinauma kuhashilia uvamizi wa adui VVU!
Okey mkuuNdio zinauma kuhashilia uvamizi wa adui VVU!
If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
Soma post ya Ragnar Loth, stage ya kwanza kaelezea vizuri zaidi!
Hapana kwa fact zako utakua unaota tu blaza UKIMWI haujaanza leo wala jana na kama ungekua na dawa ya kuponya au hiyo chanjo basi nadhan ingewekwa hadharan lakini hakuna tangu umeanza mpaka sasa unamaliza nguvu ya taifaa. Dawa ya UKIMWI ni kufanya sexually intercourse with one partner be faithful pia tumia condom na jiepushe na kuchangia zana km vitu vyenye ncha kali na nk lakini.Pamoja na yote na aksante kwa ufafanuzi lakini ugonjwa huu ni kama wa kimkakati tu.na karibia hii biashara itakwisha watavumbua nyingine,nahisi muda c mrefu watasema dawa imepatikana au chanjo.it is like ndui
JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Niliwahi kuumwa Tb, unamaanisha baada ya muda fulan nitakuwa na AIDS ?Inategemea na immune system yako wengine wanakaa mpaka miaka 10 baada ya maambukizi ndiyo wanajulikana. Dalili pia hutofautiana, wengine hupata magonjwa nyemelezi kinga inavyozidi kushuka kama TB na pneumonia ndipo wanapojulikana wana HIV pia.
Sawa doctorNo TB ni ugonjwa lakini ukiwa na maambukizi ya ya HIV, mwili unajua kwenye double attack.
Mkuu Mimi ni Sky EclatSawa doctor
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Sawa ndugu katika BwanaMkuu Mimi ni Sky Eclat
Ten years?! with all due respect sikubaliani na weweInategemea na immune system yako wengine wanakaa mpaka miaka 10 baada ya maambukizi ndiyo wanajulikana. Dalili pia hutofautiana, wengine hupata magonjwa nyemelezi kinga inavyozidi kushuka kama TB na pneumonia ndipo wanapojulikana wana HIV pia.
Nashukuru kwa post yako hapo juu. Unaweza kueleza kidogo kuhusu mahusiano ya HIV na fungus? Nimeshughulika na wagonjwa wa hili tatizo mara mbili, na mara zote tatizo la fungus limejitokeza, wa kwanza ilikuwa fungus kooni na mwingine alikuwa anapoteza kumbu kumbu kwa kipindi fulani, then madaktari wakasema tumpime CT-Scan ili kuona kama fungus imepanda kichwani.Hamna dalili inayoitwa wasi wasi mkuu kwenye HIV.