Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 584
Pole sana DADA YANGU MUNGU AKUPE UJASIRI
Nakubaliana na wewe, nafikiri nimefikiria mbele zaidi far ahead of time. naona dada hafunguki sana, na kama anafikiri anahitaji sana msaada wa kujikwamua she needs to funguka hata kama si jamvini, na kwa mtazamo wangu wewe kwa reputation yako akifunguka zaidi kwako na ukija kwetu au kwa wadau baada ya kujiridhisha na taarifa zake ukisema anahitaji financial assistance basi tunaweza kujikuna mkono unapofika. la kuna wadau humu wana kampuni zao na wanaweza kumpa kibarua ambacho kitaweza kumsustain. Pamoja na counseling na whatever, financial stability ni muhimu kwa mtu yeyote na kwa mgonjwa wa Ukimwi ni zaidi IMO.
Naomba nieleweke nimesimama miaka mitano nina miaka 28 nimemaliza chuo kimoja mwaka huu level ya degree nimeweka hii status coz ni kitu nilichofikiri moyoni na rohoni pia kupitia ushauri wenu nafarijika sina lengo lolote la kutaka pesa kwa mtu ila ni hali ninayopitia kwa sasa ushauri ni kitu kikubwa sana
Naomba nieleweke nimesimama miaka mitano nina miaka 28 nimemaliza chuo kimoja mwaka huu level ya degree nimeweka hii status coz ni kitu nilichofikiri moyoni na rohoni pia kupitia ushauri wenu nafarijika sina lengo lolote la kutaka pesa kwa mtu ila ni hali ninayopitia kwa sasa ushauri ni kitu kikubwa sana
Nakubaliana na wewe, nafikiri nimefikiria mbele zaidi far ahead of time. naona dada hafunguki sana, na kama anafikiri anahitaji sana msaada wa kujikwamua she needs to funguka hata kama si jamvini, na kwa mtazamo wangu wewe kwa reputation yako akifunguka zaidi kwako na ukija kwetu au kwa wadau baada ya kujiridhisha na taarifa zake ukisema anahitaji financial assistance basi tunaweza kujikuna mkono unapofika. la kuna wadau humu wana kampuni zao na wanaweza kumpa kibarua ambacho kitaweza kumsustain. Pamoja na counseling na whatever, financial stability ni muhimu kwa mtu yeyote na kwa mgonjwa wa Ukimwi ni zaidi IMO.
Siku nilipogundulika nina vvu nilishtuka ila nikaja kuzoea na nikasema sitakuwa kwenye mahusiano na ikawa ivo tatizo ni siku za karibuni familia yangu haijui tatizo langu na imeyumba kiuchumi kiukweli naona nafika mwisho sina hela muda mwingine ya kula naitaji kwenda hospital pia nashindwa mungu anilinde na marafiki mniombee nina wakati mgumu sana
Good, na hongera kwa kutokata tamaa na kuendelea na masomo. So umeajiriwa?
Unaweza usisaidiwe pesa lakini hata tips za ajira; heading yako na maelezo yako yanahusiana na pesa so ni vizuri kwamba hutaki pesa za kupewa lakini kama una kibarua kwanini issue ya kupata mlo iwe tatizo? Au ushauri gani unaoutaka zaidi?
dah, ila kashafunguka jamani, ujue ameonesha mazingira yote ya kuhitaji msaada zaidi ya ushauri. ngumu kusema shida ya pesa hasa kwa watu ambao hata huwafahamu.
sina ajira ndo nimemaliza chuo wapendwa
mungu ni mwema always anafanya njia pasnimeona, na nimeelewa. Sasa sijui tunamshauri jinsi ya kuwahusisha watu wake wa karibu (of which smile amejitahidi) au kuishi positively with hiv naona watu wamechangia pia, au kumsikiliza tu na kumpa pole.
Anyway mariangonyani ingia hapa http://www.scoan.org/media/healing/ click kijisection cha hiv huenda itasaidia kukupa nguvu ya kumlilia mungu as hakuna kinacho shindikana.
hana kazi ndo kamaliza chuo first degreepole sana dada maria, hongera kwa ujasiri.
Je, unafanya kazi ama bado uko na wazazi?
Anyway Mariangonyani ingia hapa http://www.scoan.org/media/healing/ click kijisection cha HIV huenda itasaidia kukupa nguvu ya kumlilia Mungu as hakuna kinacho shindikana.
Pole sana dada Maria, Hongera kwa ujasiri.
Je, unafanya kazi ama bado uko na wazazi?
sasa hapo cha kufanya wewe tumia hii mitandao ya kijamiii kujiuza piga picha za kutamanisha kisha aanza kusanbaza hapo itakua fresh mpaka dawa ipatikane 2015 utaishi nao fureshi