pole sana mpendwa wangu.
Kimsingi HIV imegusa karibu kila familia hapa tanzania. hivyo naomba nikutie moyo kwamba usiogope wala usisononeke kwaajili ya hili mpendwa wangu.
kama ni toka mwaka 2008 uligundulika na bado hujaanza kuumia dawa nina weka assumption kwamba bado CD4 zilikuwa juu, na hata viral load haikuwa kubwa.
nakuomba kama utathubutu naomba unipm CD4 level yako kwa sasa, na nakuomba sana kama unaweza hata viral load status pia pima uniambie. kisha nitakuomba uwe na ujasiri nikuweke kwenye utaratibu wa dawa ila hizi ni za majaribio so nitakuombea uingie kwenye huo utaratibu na tutakuwa tunakumonitor. Dawa hizi za majaribio sio ARV's lakini zimeonyesha kufanya vyema zaid kwenye kupunguza viral load, kuongeza cd4 na hazina contraindications kama zilivyo arv's