Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 22,710
- 54,582
Kunywa Cappuccino nakuja kulipaYani mnakataa usawa ila kwenye mambo kama haya mnataka kujilinganisha na wanawake, yani kila mnachotoa/mnachofanya kwa wanawake basi mnataka nao watoe/wafanye vivyo hivyo kwenu sasa huo utofauti kati ya mwanaume na mwanamke uko wapi, basi acheni tu wanawake wadai usawa kama mambo yenyewe ndio haya