Ukimpenda Utamjali na Kumlinda

Ukimpenda Utamjali na Kumlinda

Huu ni wivu, achana na wivu🤣
Atakonda sana,Missy Gf ana
Sasa kwa nini tupindishe ukweli? Hao wote wajomba. Tena siku za nyuma walikuwa vibaka. Haya,bado una uhakika na huo ulinzi? Njoo kwa faza Souvenez-vous ulinzi ni wa uhakika. Kikubwa tu umlete binti wa kazi
Sijaelewa,yaani wapenzi wa Mimi hapa ERoni na Glenn ndio unao waita hivyo?🤣🤣🤣🤣Kuna kitu unanitafuta wewe! niachie wajimba zangu !nawapenda
 
Aliniambia “Nakulinda hata kabla hujajua unalindwa na mimi babe”
Nahitaji nini zaidi ktk haya maisha?

Mungu amenitendea mengi, hili ni zaidi.
Niffer mtoto Cheupe Dawaaaaaa
the bold ana faudu
 

Attachments

  • Screenshot_20231123-205931_1.jpg
    Screenshot_20231123-205931_1.jpg
    61.4 KB · Views: 10
Mi nitalindwa na hao wawili niliowachagua,,,hawawezi kuniiliza Mimi,kwanza hapa Magorotooo na bby E...
Kwani tumekuzuia basiii?!! Mkubwa wao hapo pichani mnawekana sawa. We lindwa tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20231123-205931_1.jpg
    Screenshot_20231123-205931_1.jpg
    61.4 KB · Views: 10
Back
Top Bottom