Halafu Chauro nilimuona leo Mr wako kama anaingia maeneo ya Coral Beach Hotel vipi ana mkutano kule ??? Lol!!!Swala ni kutokwenda kichwa kichwa kama mbuzi aliyekatwa shingo,uwe umejipanga na maamuzi unayo tayari
nikiitwa leo nikamfumanie Mr siendi ili iweje baada ya hapo?
Halafu Chauro nilimuona leo Mr wako kama anaingia maeneo ya Coral Beach Hotel vipi ana mkutano kule ??? Lol!!!
thubutu??? hasira aiyandaliwi!
Inashauriwa kuwa ukimfumania mwenzi wako-mke/mume, usipige kelele ili watu wasijue,maana watakucheka kuwa mpaka mwenzi wako kafika hatua hiyo wewe una dosari mahali au huwajibiki ipasavyo ndio maana kaamua kutoka.Kaa kimya kama kuachana iwe kimya kimya kulinda heshima yako.
Ushauri mwingine kama nguvu za giza
Kwanza niambie kama wewe una mwenza na kama unaye kweli hapa tunaweza kuongea[/QUO
Nimo kwenye taasisi kwa muda mrefu.
Kama uko kwenye taasisi muda mrefu huu ushauri wako hapa nautilia mashaka maana uchungu wa mke au mume anaujua mke au mume muhusika na unapokuta mkeo yuko kitandani na mwanaume mwingine huo uchungu wake sijui kama unaelezeka
Ndo maana kweney issue za murder provocation as defence inakubalika kwenye issue za kumfumania mke na mtu akachukua reaction hapo hapo defence ya provocation inakubalika
Sasa unapotuambia eti unyamaze na uuchune ili kulinda heshima, heshima mbona ishapotea toka hapo. Kitendo cha kutembea nje ya ndoa ni cha kukushushia heshima muhusika bila kujali kuwa umemkamata au hajakamatwa
Leo umeongea point kweli.....Dhana potofu nyingine hii!! Mwenza wako akikuchiti haina maana kuwa wewe una dosari na huwajibiki ipasavyo (ingawa yawezekana pia). Kuna watu tu hawana maadili, mapepe, washobokaji, vichwa juu, na kadhalika. Yaani hata ufanyeje mwenzako anatamani vingine tu. Sasa ukiwa na mtu wa aina hiyo ama kubali tu kuwa mnyonge au sepa.
Hakuna kitu kinachoniudhi kama tabia ya watu kuwalaumu watu waliokuwa cheated. Utasikia eti jichunguze mapungufu ulonayo mpaka mwenzio akatoka nje ya ndoa. Kha. This is a language used to justify cheating. Kwa hiyo mume/mke aki cheat kosa ni la mwenza kwa kuwa hakutimiza wajibu? Afu macheater wanaipenda hiyo theory. Na wenye vimada au vidumu zaidi ya kimoja vyote vijichunguze kipi hawatimizi kwa huyo mfalme! Cheating ni ugonjwa hakuna justification ya aina yoyote. Kama upate kitu roho inataka toka kwa mwenza wako achana nae kabla ya kuanza kukitembeza kwa wengine mtaja uana kwa magonjwa bure.
Inashauriwa kuwa ukimfumania mwenzi wako-mke/mume, usipige kelele ili watu wasijue,maana watakucheka kuwa mpaka mwenzi wako kafika hatua hiyo wewe una dosari mahali au huwajibiki ipasavyo ndio maana kaamua kutoka.Kaa kimya kama kuachana iwe kimya kimya kulinda heshima yako.
daaahhh, ungeweka warning kabla mtu hajaanza kusoma hii, nimepaliwa vibaya sana na nilichokuwa nakunywa hapa sababu ya kicheko, LOL...hivi kumbe kuna watu hupiga yowe wakifumania eeh?...ha ha ha ahaaa
haya bana, vigezo na masharti yatazingatiwa...lol!