Ukimfumania mkeo nani mwenye makosa?

Ukimfumania mkeo nani mwenye makosa?

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,816
Hivi kwani huyo mwanamke sio binadamu, hana akili au unahisi kitu gani kimemshawishi? Wanaume tubadilike kama haya malimbwata yametukolea hivi ni hatari.

Kwa mfano Mimi namtongoza mwanamke sijmjui hanijui ananiambia hana mume tunaanza mahusiano ghafla we zumbukuku unapata habari kumbe ni mkeo unanivamia na kutoa uhai wangu, hapo kosa la nani? Mnajiongopea eti mke anauma mliwakuta bikra haooo... Asbh njema.
 
Hivi kwani huyo mwanamke sio binadamu, hana akili au unahisi kitu gani kimemshawishi? Wanaume tubadilike kama haya malimbwata yametukolea hivi ni hatari. Kwa mfano Mimi namtongoza mwanamke sijmjui hanijui ananiambia hana mume tunaanza mahusiano ghafla we zumbukuku unapata habari kumbe ni mkeo unanivamia na kutoa uhai wangu, hapo kosa la nani? Mnajiongopea eti mke anauma mliwakuta bikra haooo... Asbh njema.
N:B Mwenye sababu ya msingi kwa nini umwadhibu mwanaume mwenzako iweke hapa tuone...
 
Hivi kwani huyo mwanamke sio binadamu, hana akili au unahisi kitu gani kimemshawishi? Wanaume tubadilike kama haya malimbwata yametukolea hivi ni hatari. Kwa mfano Mimi namtongoza mwanamke sijmjui hanijui ananiambia hana mume tunaanza mahusiano ghafla we zumbukuku unapata habari kumbe ni mkeo unanivamia na kutoa uhai wangu, hapo kosa la nani? Mnajiongopea eti mke anauma mliwakuta bikra haooo... Asbh njema.


NDIO NIMEMKUTA BIKRA KAMA WEWE HUKUBAHATIKA KUMKUTA MKEO BIKRA KAACHONJO NA WAKE ZA WATU UTAKUFA
 
Tukikutana ama zangu ama zako, sitojali alikwambia ameolewa au laa!! ntakutandika na kumpa red kadi huyo bwege
 
Ila hapa Mara nyingi wanawake ndio chanzo anajua kaolewa lakini anamdanganya mwanaume hajaolewa, otherwise wapo pia wanaume ambao hujua kabisa ni mke wa MTU lakini huwatongoza hao wanawake
 
NDIO NIMEMKUTA BIKRA KAMA WEWE HUKUBAHATIKA KUMKUTA MKEO BIKRA KAACHONJO NA WAKE ZA WATU UTAKUFA
Naheshimu sana wake za watu ila nikimfumania wangu namwambia mwanaume aende zake tu atuache Mimi na wife kwanza!
 
NDIO NIMEMKUTA BIKRA KAMA WEWE HUKUBAHATIKA KUMKUTA MKEO BIKRA KAACHONJO NA WAKE ZA WATU UTAKUFA
Naheshimu sana wake za watu ila nikimfumania wangu namwambia mwanaume aende zake tu atuache Mimi na wife kwanza!
 
NDIO NIMEMKUTA BIKRA KAMA WEWE HUKUBAHATIKA KUMKUTA MKEO BIKRA KAACHONJO NA WAKE ZA WATU UTAKUFA
Naheshimu sana wake za watu ila nikimfumania wangu namwambia mwanaume aende zake tu atuache Mimi na wife kwanza!
 
NDIO NIMEMKUTA BIKRA KAMA WEWE HUKUBAHATIKA KUMKUTA MKEO BIKRA KAACHONJO NA WAKE ZA WATU UTAKUFA
Naheshimu sana wake za watu ila nikimfumania wangu namwambia mwanaume aende zake tu atuache Mimi na wife kwanza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom