Ukimfumania mkeo nani mwenye makosa?

Ukimfumania mkeo nani mwenye makosa?

NDIO NIMEMKUTA BIKRA KAMA WEWE HUKUBAHATIKA KUMKUTA MKEO BIKRA KAACHONJO NA WAKE ZA WATU UTAKUFA
Naheshimu sana wake za watu ila nikimfumania wangu namwambia mwanaume aende zake tu atuache Mimi na wife kwanza!
 
NDIO NIMEMKUTA BIKRA KAMA WEWE HUKUBAHATIKA KUMKUTA MKEO BIKRA KAACHONJO NA WAKE ZA WATU UTAKUFA
Naheshimu sana wake za watu ila nikimfumania wangu namwambia mwanaume aende zake tu atuache Mimi na wife kwanza!
 
Hivi kwani huyo mwanamke sio binadamu, hana akili au unahisi kitu gani kimemshawishi? Wanaume tubadilike kama haya malimbwata yametukolea hivi ni hatari. Kwa mfano Mimi namtongoza mwanamke sijmjui hanijui ananiambia hana mume tunaanza mahusiano ghafla we zumbukuku unapata habari kumbe ni mkeo unanivamia na kutoa uhai wangu, hapo kosa la nani? Mnajiongopea eti mke anauma mliwakuta bikra haooo... Asbh njema.
Inategemea mtu na mtu, wakati mwanaume mwingine akifumania atatoa roho ya mgoni wake, mwingine ataondoka eneo la tukio kimyakimya, mwingine atasogea pembeni aanze kumwaga chozi anasubiri jamaa aondoke halafu anamwambia mwanamke wake 'pole sana mama'....basi kila mwanaume ananamna anavyo react
 
Ukijua kama mkeo anatomb.esha ni kumwacha tu aendelee na hayo maisha aliyochagua.


Mimi juzi nmeonywa kuhusu mazoea na wake za watu maana kuna mrembo mmoja tumekuwa karibu sn nayeye ana mume.
 
Kijana utakuwa na makosa kama ulishafahamishwa na mwenye mali na ukaonywa lakini ukajifanya kichwa ngumu.
 
Mwenye makosa ni mwanamke hakuna haja ya kugombana na mwanamme mwenzako endapo yeye mwanamke nakwambia yupo single..
Tujiongezeee tu.
 
Huyo unaemzungumzia wewe ni malaya sio mke wa mtu. Uchafu hujibiwa kwa uchafu.
 
Tukikutana ama zangu ama zako, sitojali alikwambia ameolewa au laa!! ntakutandika na kumpa red kadi huyo bwege
Safi sana boss! Baada ya hapo utaishia jela wakati huyo binti ataendelea kuliwa na wengine huku nje kwa uhuru kabisa! Tena yaweza kuwa na huyo huyo mgoni wako..


Yani utakua umewakomesha kweli kweli aisee hahaha
 
NDIO NIMEMKUTA BIKRA KAMA WEWE HUKUBAHATIKA KUMKUTA MKEO BIKRA KAACHONJO NA WAKE ZA WATU UTAKUFA
Wakati unahangaika na kesi ya mauaji na kisha hukumu ya kunyongwa au kifungo cha maisha, watu watakuwa wanajilia huyo mke bila bugudha.
 
hapo ndio uanaume wako utaonekana.....sio kwa kupigana au kupigwa....ila "BUSARA" ndio itakuweka salama......ukimfumania mkeo ni upumbafu wako tuu......elewa kabisa mkeo kajifumanisha akuone utafanyaje.....mara nyingi wanaume ndo hufumaliwa - kwa mtazamo wangu; wanawake wako very smart kuchepuka.....kuwa na busara.....sawanisha....songa mbele.... habari ya bikra au unbikra sio ishu......
 
Mtongozwaji ndo mwenye maamuzi ya mwisho!!!
 
watu hua wanatoa onyo kijana chunga sana huyu mke wa mtu wanapewa zaidi ya mara tatu

nimeshuhudia mwana anapewa onyo mara tatu achana na mke wa mtu akawa kidume mbishi kilichomkuta alishahama mtaa saa hv

ukiona mtu anakupa onyo acha basi acha kweli maana huyo mtu jua ni mbaya kweli
 
mpaka mwanamke anaamua kusema hajaolewa hilo ni tatizo lake na hathamini kuitwa mke wa mtu. huyo mwanaume utajuaje sasa kama mwanamke huyo hajaolewa? huenda akawa umevutiwa nae na yupo katika harakati za kutafuta mke yaka mkukuta ya kukuta! binafsi naona kumuadhibu huyo mwanaume si sahihi labda kama alikuwa anajua kuwa ni mke wa mtu. kama utaamua kumsamehe sawa lakini hakuna ndoa hapo.
 
Yaani wanawake wengine ni tamaa tu..unakuta kila kitu unampa na unamkuna vizuri tu ila atakusaliti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom