Utamlinda
Utamfanyia kweli
Utampa salamu zake
Utamlalamikia
Utakimbia
Je kwanini rais analindwa kana kwamba ni mharifu?
Wanangu huenda uzee,
Msifanyie masihara swali langu
Maana najiandaa kuwa rais
Usiku au mchana?
Ntamweleza udhaifu wake ki-uongozi na pia hana huruma kwa wananchi ndio sababu anasafiri nje ya nchi kila wakati,nitamweleza pia safari za nje siku moja atajulishwa abakie nje
Utamlinda
Utamfanyia kweli
Utampa salamu zake
Utamlalamikia
Utakimbia
Je kwanini rais analindwa kana kwamba ni mharifu?
Wanangu huenda uzee,
Msifanyie masihara swali langu
Maana najiandaa kuwa rais
kilichompata Gadaffi saa za mwisho wa uhai wake mnakikumbuka??