Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,709
Utamlinda
Utamfanyia kweli
Utampa salamu zake
Utamlalamikia
Utakimbia
Je kwanini rais analindwa kana kwamba ni mharifu?
Wanangu huenda uzee,
Msifanyie masihara swali langu
Maana najiandaa kuwa rais
Utamfanyia kweli
Utampa salamu zake
Utamlalamikia
Utakimbia
Je kwanini rais analindwa kana kwamba ni mharifu?
Wanangu huenda uzee,
Msifanyie masihara swali langu
Maana najiandaa kuwa rais