Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,613
We Ally wa kitaa! Umejuaje kama Mungu mwanamme? Kwani kuna wa2 wanajua mungu ni jinsia gani?
Wewe hujawahi kusikia "mungu baba"? Hujawahi kusikia "baba yetu uliye mbinguni"? Sasa nikuulize wewe, kuna mwanamke aitwaye baba?
Mimi nadhani mungu anaendekeza mfumo dume. Hebu soma Phillipians 4:13...kwa nini wametumia personal pronoun ya "him" badala ya "her"?