Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,627
Mkuu hao watu uliowataja sidhani kama ndo utakuwa unakutana nao for the first time..Mtu mpaka awe mpenzi,rafiki au ndugu it means u've met them before and u know your connection japo kidogo
Labda cha msingi ni
Kujiamini,stay positive,Acha maigizo unless kama utaweza kuyamaintain,Tabasamu nalo ni muhimu coz linampa mtu confidence/uhuru wa kuongea na ww
Ila mkuu tabasamu linategemea na sura, ukiwa na sura kama ya King Kong III ukijifanya kutabasamu noma.