Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,770
- 90,083
- Thread starter
- #21
Kuishi ni mtazamo, unaweza kuishia ukiwa na makazi lukuki, chakula cha kila aina, mavazi ya gharama na uwezo mkubwa wa kifedha !
Kuishi ni kupata mahitaji uyatakayo Mkuu