Ukijitathmini; Hivi unaishi au Unaishia?

Ukijitathmini; Hivi unaishi au Unaishia?

Kuishi ni kupata mahitaji uyatakayo Mkuu
Kama unatafuta je?
Sina usafiri ila uwezo wa kununua japo piki piki au Baby walker ninao

kuhusu kula sio tatizo nakula ninachohitaji,
Nimepanga ila nakaza nijenge nyumba yangu,

Nipo kundi gani hapo?
 
Kuridhika na kushukuru Mungu ndio maisha, hayo mengine ni ziada tu
 
Kama hujawahi pata pisi Kali na Hennessy unaishi au unaishia!......
 
Tumbo halishibi Mkuu

Ni kweli mkuu.

Ndiyo maana “Tukawaletea mana jangwani mle. Ili mjue kuwa mtu hataishi kwa mkate tu bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu”.

Hayo yote uliyo orodhesha hapo juu ni mkate tu.

Hayashibishi na wala si mtambuka kwa uhai.
 
Back
Top Bottom