Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Mkeo kaacha simu yake ya mkononi wakati akiwa bafuni anaoga na kasha kuaga kuwa anaenda kitchen party. Mara simu inalia na unaamua kuipokea. Unasoma jina ni la Rais wa nchi yako. Hauamini. Unapokea simu na anayekujibu unamtambua kwa sauti yake kuwa kweli ni Rais wako wa nchi. Naye bila kujua kuwa aliyepokea ni tofauti na hawala yake, anakwambia 'Wahi nakusubiri ikulu, pitia geti la Waziri Mkuu'.
Utamruhusu mkeo aende kitchen party kama alivyodai?
Utachukua hatua gani baada ya hapo?
Utamruhusu mkeo aende kitchen party kama alivyodai?
Utachukua hatua gani baada ya hapo?