Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
- Thread starter
- #21
Nitaona kawaida tu, vitu vingine ni kuvipotezea tu ili uishi kwa amani
Utamuacha aende 'kitchen party' nawe ukae kimya bila kusema lolote?
Nitaona kawaida tu, vitu vingine ni kuvipotezea tu ili uishi kwa amani
=====nitamwambia nenda.lakini usirudi,kalale huko huko.Baadae unampa ukweli wake,mnaachana maana huwezi kushindana na rais.{jamani hii story ni ya kweli?}