Ukifika Capetown utashangaa sana

Vp kuhusu mji wa port Elizabeth ukoje kiusalama na utafutaji wa kazi

Miji gani kuna usalama zaidi kwa wageni ndani ya south Africa

Na vip kuhusu mini yenye job opportunities nyingi zaidi kwa huko

Ahsante kwa majibu yenu
Port Elizabeth na East London ziko Eastern cape province, ni miji midogo maana yake na opportunity zake ni ndogo.

All in all issue ni connection, hata Nairobi Kenya ukiwa na connection iko pesa nzuri tu.
 
Port Elizabeth na East London ziko Eastern cape province, ni miji midogo maana yake na opportunity zake ni ndogo.

All in all issue ni connection, hata Nairobi Kenya ukiwa na connection iko pesa nzuri tu.
Nai sio wabaguzi kwa watz?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Kibaharia una kesi ya kujibu.... Mtoto wa kiume unakuwa mmbeya ka pung%%@. Nyie ndo mnapasukaga nchi mbovu
 
Kwahiyo anyamaze?

Ujinga mwingine bwana..
Tulia ww hujui kitu.... Au na wewe umepata suna hospital,,,,, ushasikia mwanaume anazungumzia ya jandoni. Na mbona anataja mabaya tu kwani mazuli hamam, hata bongo vile vile huo ubaya aliouona huko upo
 
Umeongea vizuri mkuu
 
Tulia ww hujui kitu.... Au na wewe umepata suna hospital,,,,, ushasikia mwanaume anazungumzia ya jandoni. Na mbona anataja mabaya tu kwani mazuli hamam, hata bongo vile vile huo ubaya aliouona huko upo
Mbona mazuri tunayoyapata Summer time tukija kula bata Campsbay au V &A waterfront nimeyataja bro?

Kuna makande mazuri sana huwa nakula nikiwa Bellville wanauza wadada wakiXosa
 
Mbona mazuri tunayoyapata Summer time tukija kula bata Campsbay au V &A waterfront nimeyataja bro?

Kuna makande mazuri sana huwa nakula nikiwa Bellville wanauza wadada wakiXosa
Itakuwa umekuja na ndege nchi mbovu ndo mana unacharazia mabaharia,,,,
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji119][emoji119]
 
Haaaahaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Weed oriented
 
80%? Hii noma sana, lazima na maambukizi ni makubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…