Ukifika Capetown utashangaa sana

Sio wanigeria tu,hata wakameroon wengi wanafanyabiashara kubwa SA lakini wengi walishazunguka sana Europe.
 
nataka kufika sauzi nikae siku tatu tu keptaun tiketi na makazi ni bajeti ya sh ngapi kwa wmenye kujua tafazali
 
Kweli kabisa
 
Mkuu unaonekana una experience kubwa sana huko kwa madiba.
Wengine kipindi hicho tunamaliza secondary wakaondoka kwenda huko bondeni lakini mpka Leo wengine hatujawahi kuwaona wakirudi au hata mawasiliano kuna uwezekano walishafariki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…